Laura Pettie (@laurapettie) 's Twitter Profile
Laura Pettie

@laurapettie

Author | Novelist | Disability Activist
...The girl from tomorrow

ID: 133646777

calendar_today16-04-2010 08:47:40

475 Tweet

1,1K Followers

133 Following

Laura Pettie (@laurapettie) 's Twitter Profile Photo

Kwamba, kitabu cha mtu wa 'nje' kwa lugha ya kigeni ntu anajisikia fahari na wepesi kukinunua kwa gharama kubwa kuliko cha mwandishi wa ndani.

Joseph Edward Silayo (@advocate_silayo) 's Twitter Profile Photo

Uwezekano wa wewe kufanya vizuri katika kazi zako kwa mwaka huu 2024 ni mkubwa zaidi ya kuwa mtu wa kupanga mambo mengi kwenye karatasi,chagua mambo machache katika mengi unayoyatamani kufanikisha halafu hakikisha unayakamilisha kikamilifu pasipo ajizi. πŸ“Έ #SamsungA23

Uwezekano wa wewe kufanya vizuri katika kazi zako kwa mwaka huu 2024 ni mkubwa zaidi ya kuwa mtu wa kupanga mambo mengi kwenye karatasi,chagua mambo machache katika mengi unayoyatamani kufanikisha halafu hakikisha unayakamilisha kikamilifu pasipo ajizi.
πŸ“Έ #SamsungA23
Ndahani N. Mwenda (@ndahani_mwenda) 's Twitter Profile Photo

UTT-AMIS ni kitu gani haswaa? Ni kampuni ya uwekezaji/upatu? Nikiwekeza pesa zangu kwao zitakuwa salama kwa kiasi gani labda kwamfano? Nitapata faida kiasi gani nikiwekeza? Kujua zaidi na zaidi, soma hapo chini! #AskMwenda

UTT-AMIS ni kitu gani haswaa?

Ni kampuni ya uwekezaji/upatu?

Nikiwekeza pesa zangu kwao zitakuwa salama kwa kiasi gani labda kwamfano?

Nitapata faida kiasi gani nikiwekeza?

Kujua zaidi na zaidi, soma hapo chini!

#AskMwenda
Dr Mmbaga (@zakayommbaga) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana mwanamama Laura Pettie (72) kwa tuzo hii. Tunaojua ustadi wako katika hizi kazi tunaamini huu ni mwanzo tu, Mungu azidi kufungua milango zaidi kwako.

Tuzo Nyerere (@tuzonyerere) 's Twitter Profile Photo

Hongera Laura Pettie Kissakwa kutoka Dar es Salaam kwa kushinda nafasi ya kwanza kwenye nyanja ya riwaya. Muswada ulioshinda ni Garasa. πŸŽ‰ #TuzoNyerere

Hongera Laura Pettie Kissakwa kutoka Dar es Salaam kwa kushinda nafasi ya kwanza kwenye nyanja ya riwaya. Muswada ulioshinda ni Garasa. πŸŽ‰

#TuzoNyerere
Tuzo Nyerere (@tuzonyerere) 's Twitter Profile Photo

Dirisha la kutuma miswada limefunguliwa tena. Nyanja zinazoshindaniwa ni riwaya, ushairi, hadithi za watoto na tamthiliya. Makataa ni Novemba 30, 2024. #TuzoNyerere

Dirisha la kutuma miswada limefunguliwa tena. Nyanja zinazoshindaniwa ni riwaya, ushairi, hadithi za watoto na tamthiliya. Makataa ni Novemba 30, 2024.

#TuzoNyerere
Tuzo Nyerere (@tuzonyerere) 's Twitter Profile Photo

Jiunge nasi leo saa nne asubuhi, ambapo Mwenyekiti wa Kamati wa Tuzo Prof. Penina Mlama atakuwa mubashara Bongo FM, akizungumzia #TuzoNyerere TBC DIGITAL

Jiunge nasi leo saa nne asubuhi, ambapo Mwenyekiti wa Kamati wa Tuzo Prof. Penina Mlama atakuwa mubashara Bongo FM, akizungumzia #TuzoNyerere <a href="/TBConlineTZ/">TBC DIGITAL</a>
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Ujanajike. Ni riwaya yangu mpya iliyoshinda Safal Kiswahili Prize mwaka 2022. Riwaya hii imechapishwa na Mkuki na Nyota na sasa inapatikana TPH Bookshop kwa bei Tsh 15,000/= Tu Naomba mniunge mkono kwa kujininunulia wewe mwenyewe na uwapendao. Hasa ukizingatia leo ni siku ya

Ujanajike. Ni riwaya yangu mpya iliyoshinda <a href="/KiswahiliPrize/">Safal Kiswahili Prize</a> mwaka 2022. Riwaya hii imechapishwa na <a href="/MkukiNaNyota/">Mkuki na Nyota</a> na sasa inapatikana <a href="/TPHbookshop/">TPH Bookshop</a> kwa bei Tsh 15,000/= Tu

Naomba mniunge mkono kwa kujininunulia wewe mwenyewe na uwapendao. Hasa ukizingatia leo ni siku ya