UWARIDI
@uwaridiofficial
Umoja wa Waandishi wa Riwaya wenye Dira. #Uwaridi #NjooTunukie #Riwaya #Kiswahili
ID: 1239204673279713282
15-03-2020 15:00:11
114 Tweet
245 Followers
23 Following
Mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu katika riwaya, kwa mwaka 2024 ni Laura Pettie. NDIYO! NI MIMIII... What a Milestone!! Alhamdullilah!! Ahsante sana Wizara ya Elimu Tanzania Ahsante sana Taasisi ya Elimu Tanzania. Ahsante sana UWARIDI.
Pamoja na kumsherehekea mwanachama wetu, Bi Laura Pettie kuwa MSHINDI WA KWANZA wa Tuzo Nyerere (riwaya) 2024, tunatumia nafasi hii pia kuwapongeza wanachama wetu wengine: Bw. Hamisi Kibari kwa kuwa MSHINDI WA TANO na Bw. David Shalali kuwa MSHINDI WA TISA katika tuzo hii.
The SAFAL Safal Kiswahili Prize for African Literature has announced a call for submission of manuscripts for its 9th edition. Submissions will close on 30th November 2024.
Annual Baraza Swahili Studies Conference at SOAS University of London is underway with panels on Linguistics, philosophy, Literature, Art and Heritage. #barazasoas #swahilibaraza2024 Ida Hadjivayanis
MSHINDI WA KWANZA wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu (Tuzo Nyerere ) katika riwaya, kwa mwaka 2025, ni mwanachama wa Umoja wa Waandishi wa Riwaya wenye Dira (Uwaridi), Bw. Maundu Mwingizi Hii ni mara ya TATU kwa tuzo hii kuja UWARIDI. Hongera sana Maundu.
Huu ushindi ni wetu sote waandishi-bunifu kwa sababu umekuwa mwalimu wetu wengi. Wewe ni Shaaban Robert kwa kizazi hiki. Kongole Mwanabalagha Maundu Mwingizi
Pongezi nyingi sana β¦Maundu Mwingiziβ© kwa kuwa mshindi wa riwaya katika Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu.
Hongera sana Lilian Mbaga kwa kuwa mshindi wa nne wa hadithi za watoto katika Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu.
Mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu (Tuzo Nyerere ), Maundu Mwingizi (Maundu Mwingizi) katika The Citizen la May 13, 2025.