Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile
Dotto Rangimoto

@jinikinyonga

Poet|Novelist|1st Runner-up @tuzonyerere 2024| Won @KiswahiliPrize 2022 (fiction)|1st Runner-up @KalahariStories 2020|Won @KiswahiliPrize 2017 (poetry) 🇹🇿🇨🇳

ID: 474834093

calendar_today26-01-2012 11:50:14

107,107K Tweet

27,27K Takipçi

1,1K Takip Edilen

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

#October29Massacre The first step to redemption is admitting the horror: our people were massacred on October 29 and the bloody days after, an unprecedented atrocity! The October 2025 Massacre will not fade into oblivion like Angola’s forgotten May 1977 slaughter. No, we will

#October29Massacre 

The first step to redemption is admitting the horror: our people were massacred on October 29 and the bloody days after, an unprecedented atrocity! The October 2025 Massacre will not fade into oblivion like Angola’s forgotten May 1977 slaughter. No, we will
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Leo Novemba 14, 2025 Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita amefanya kikao na viongozi wa majimbo ya Mkoa wa Dar es salaam. Madhumuni ya kikao ni kutafakari yaliyojiri kabla, wakati na baada ya uchaguzi na mauaji ya Oktoba 29. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Leo Novemba 14, 2025 Makamu Mwenyekiti wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Bara, Ndugu <a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a> amefanya kikao na viongozi wa majimbo ya Mkoa wa Dar es salaam. Madhumuni ya kikao ni kutafakari yaliyojiri kabla, wakati na baada ya uchaguzi na mauaji ya Oktoba 29.

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Kwa hiyo hawa manyumbu, wanataka KCM Zitto afanye nini? Anyamaze, shida! Aseme shida! Kwa hivyo tatizo si kusema wala kunyamaza, tatizo kule Zitto kuwaacha mbali sana viongozi wao. 💪🏿

Kwa hiyo hawa manyumbu, wanataka KCM Zitto afanye nini? Anyamaze, shida! Aseme shida! Kwa hivyo tatizo si kusema wala kunyamaza, tatizo kule Zitto kuwaacha mbali sana viongozi wao. 💪🏿
Hilmi Hilal (@hilmihilal88) 's Twitter Profile Photo

Kabla ya kusema chochote dhidi ya BAKWATA ni muhimu sana tukafahamu Bakwata ni nini na lipi dhumuni la kuanzishwa kwake. Kwa ufupi sana, Liitwalo baraza kuu la WaislamuTanzania (Bakwata) ni chombo kilichoanzishwa kudhibiti Waislam. Bakwata ilianzishwa punde baada ya Nyerere

Kabla ya kusema chochote dhidi ya BAKWATA ni muhimu sana tukafahamu Bakwata ni nini na lipi dhumuni la kuanzishwa kwake. 

Kwa ufupi sana, Liitwalo baraza kuu la WaislamuTanzania (Bakwata) ni chombo kilichoanzishwa kudhibiti Waislam. Bakwata ilianzishwa punde baada ya Nyerere
The Chanzo (@thechanzo) 's Twitter Profile Photo

Shura ya Maimamu yalaani mauaji yaliyotokea. Wasisitiza haki, amani na utu Akiongea na vyombo vya habari leo, Katibu wa Shura ya Maimamu, Sheikh Issa Ponda, ametoa taarifa ya taasisi hiyo ambayo imelaani mauaji yaliyotokea toka Oktoba 29, na kueleza kuwa ufisadi na ulaghai

Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Kutoka Ofisi ya Mbunge wa Tanduru Kaskazini, Ado Shaibu. Bwana Noel Chilemba ameteuliwa kuwa Katibu wa Mbunge. Kazi imeanza🚀✈️ imeanza kwa kasi sana!

Kutoka Ofisi ya Mbunge wa Tanduru Kaskazini, <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>. Bwana Noel Chilemba ameteuliwa kuwa Katibu wa Mbunge.

Kazi imeanza🚀✈️ imeanza kwa kasi sana!
Isihaka Mchinjita (@mchinjitair) 's Twitter Profile Photo

Nchi inapitia maumivu makubwa sana. Sikuwahi kufikiri kwamba itafika siku tukiwa ndani ya nyakati za amani askari wetu wakiwa ndani ya nidhamu ya utii wa serikali ya kiraia watafanya mauaji ya kinyama kiasi hiki. Kama wauaji hawatowajibishwa ninaweza kusema bila shaka kuwa nchi

Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

Nabii wa mchongo Godbless E.J. Lema unataka Ndolezi akulipe 1bil au siyo?Unatutisha kwa kutumia sheria kandamizi za cyber tunazopambana zifutwe ili tupate uhuru wa maoni Hautalipwa hata sh kumi. Ukitaka kulipwa japo sh10 twambie kwanza Zitto MwamiRuyagwa Kabwe alikudalalia nini kima wewe.

Nabii wa mchongo <a href="/godbless_lema/">Godbless E.J. Lema</a> unataka <a href="/Ndolezi_Petro/">Ndolezi</a> akulipe 1bil au siyo?Unatutisha kwa kutumia sheria kandamizi za cyber tunazopambana zifutwe ili tupate uhuru wa maoni Hautalipwa hata sh kumi. Ukitaka kulipwa japo sh10 twambie kwanza <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> alikudalalia nini kima wewe.
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA KWA UMMA Chama cha ACTWazalendo kinapinga na kinakataa kabisa Tume iliyotangazwa na Rais Samia Suluhu kuchunguza matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

TAARIFA KWA UMMA

Chama cha <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> kinapinga na kinakataa kabisa Tume iliyotangazwa na Rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> kuchunguza matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata.

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

📍VUGA ZANZIBAR Leo Novemba 23, 2025 Kikao cha kamati ya uongozi ya chama cha ACTWazalendo kimekaa leo katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu Zanzibar. Kikao kimehudhuriwa na viongozi wa juu chini ya Mwenyekiti wake ambaye ni KC Dorothy Semu kitajidili masuala mbali mbali ikiwemo

📍VUGA ZANZIBAR

Leo Novemba 23, 2025 Kikao cha kamati ya uongozi ya chama cha <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>  kimekaa leo katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu Zanzibar. Kikao kimehudhuriwa na viongozi wa juu chini ya  Mwenyekiti wake ambaye ni KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a>  kitajidili masuala mbali mbali ikiwemo
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

📍VUGA ZANZIBAR Leo Novemba 23, 2025 Kikao cha kamati ya uongozi ya chama cha ACTWazalendo kimekaa leo katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu Zanzibar. Kikao kimehudhuriwa na viongozi wa juu chini ya Mwenyekiti wake ambaye ni KC Dorothy Semu.

📍VUGA ZANZIBAR

Leo Novemba 23, 2025 Kikao cha kamati ya uongozi ya chama cha <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>  kimekaa leo katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu Zanzibar. Kikao kimehudhuriwa na viongozi wa juu chini ya  Mwenyekiti wake ambaye ni KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a>.
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ndugu Ado Shaibu atafanya Mkutano wa Hadhara Viwanja vya Baraza Idi Tunduru. Madhumuni ya Mkutano ni kuwashukuru wa Wananchi kwa kumchagua kuwa Mbunge wao. Siku: Novemba 30, 2025 Muda: Saa 9 Alasiri #TunduruKaskazini ACTWazalendo

Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a> atafanya Mkutano wa Hadhara Viwanja vya Baraza Idi Tunduru. Madhumuni ya Mkutano ni kuwashukuru wa Wananchi kwa kumchagua kuwa Mbunge wao.

Siku: Novemba 30, 2025
Muda: Saa 9 Alasiri

#TunduruKaskazini
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Jana viongozi wa ACTWazalendo wamemsikiliza Mwenyekiti wa Tume inayoitwa Huru ya Uchunguzi. Msimamo wa ACT ni uleule uliotolewa Novemba 18, 2025 na Katibu Mkuu Ado Shaibu. 👉🏿Tume ya Jaji Chande ni dhihaka kwa waathirika wa mauaji ya Oktoba 2025. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Jana viongozi wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> wamemsikiliza Mwenyekiti wa Tume inayoitwa Huru ya Uchunguzi. Msimamo wa ACT ni uleule uliotolewa Novemba 18, 2025 na Katibu Mkuu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>.

👉🏿Tume ya Jaji Chande ni dhihaka kwa waathirika wa mauaji ya Oktoba 2025.

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Jana viongozi wa ACTWazalendo wamemsikiliza Mwenyekiti wa Tume inayoitwa Huru ya Uchunguzi. Msimamo wa ACT ni uleule uliotolewa Novemba 18, 2025 na Katibu Mkuu Ado Shaibu. 👉🏿Tume ya Jaji Chande ni dhihaka kwa waathirika wa mauaji ya Oktoba 2025. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Jana viongozi wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> wamemsikiliza Mwenyekiti wa Tume inayoitwa Huru ya Uchunguzi. Msimamo wa ACT ni uleule uliotolewa Novemba 18, 2025 na Katibu Mkuu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>.

👉🏿Tume ya Jaji Chande ni dhihaka kwa waathirika wa mauaji ya Oktoba 2025.

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

"Kwanza kiri kosa, kwamba vijana wa Kitanzania wameuliwa na vyombo vya usalama. Unaombaje maridhiano hukubali kama umeua na walioua hawajachukuliwa hatua yoyote?" Mwenyekiti wa Ngome ya vijana_Official Abdul Nondo 🇹🇿 ACTWazalendo #TaifaKaWote #MaslahiYaWote