
Mancold
@mancold04
ID: 1513109952583413767
10-04-2022 11:02:14
793 Tweet
454 Takipรงi
428 Takip Edilen

Mwanetu Boniface Jacob amekamatwa na Jeshi la Polisi Sinza (Golden Fork) na wamempeleke Kituo cha Polisi Osterbay- Kinondoni. Polisi (Police Force TZ) mmemkamata Bon akiwa na afya njema, tuelezeni kosa lake haraka iwezekanavyo na mfahamu kuwa Maandamano yetu yapo pale-pale Septemba




Kutoka kwa #NIPENI_MAUA_YANGU๐ ๐๐พ Repost 200 za chap chap.๐ซก Habari!! Nakuja tena kwenu. Asanteni sana kwa muitikio wenu mkubwa kuhusu wazo langu la jana la kufanya #Fundraising kwa Msanii Nay wa Mitego. #Naythetrueboy Naomba tumchangie chochote kile iwe kama ishara ya











HAWA VIBAKA NI WAOGA SANA. Police Force TZ Kesho mwanza inaenda kusimama. Hakuna SHUGULI itafanyika, HAKUNA UTULIVU utapatikana mpaka mtuambie Amani Manengelo YUPO WAPI? Mpaka sasa taarifa zilizopo ni nyie VIBAKA Police Force TZ ndio mmemteka KATIBU WA BAVICHA mkoa wa MWANZA. Hatuwezi





