nkindikwa Kijana Mzalendo (@davidlev43david) 's Twitter Profile
nkindikwa Kijana Mzalendo

@davidlev43david

ID: 1628055948014018562

calendar_today21-02-2023 15:37:00

2,2K Tweet

1,1K Takipçi

976 Takip Edilen

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Thank you Former CJ David Maraga 🙏🏽 Injustice to One is injustice to All We appreciate your solidarity in observing such an important case Samia Suluhu ulitaka kuzuia picha kama hii ndo ukaanza kukamata high profile Kenyans - sasa kiko wapi? 🤣 Hii spirit ya 🇰🇪 tuchote kidogo

Thank you Former CJ <a href="/dkmaraga/">David Maraga</a> 🙏🏽
Injustice to One is injustice to All
We appreciate your solidarity in observing such an important case 

<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> ulitaka kuzuia picha kama hii ndo ukaanza kukamata high profile Kenyans - sasa kiko wapi? 🤣

Hii spirit ya 🇰🇪 tuchote kidogo
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Naona picha ya Kaswahili Ina trend kuwa hapatikani kabisa ? What’s going on ? Pls TAARIFA isiwe mbaya hata kidogo. Yuko wapi Kaswahili ?

Naona picha ya Kaswahili Ina trend kuwa hapatikani kabisa ? What’s going on ? Pls TAARIFA isiwe mbaya hata kidogo. Yuko wapi Kaswahili ?
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Kenge kama kenge 🤣 1997 - 1998 Sekondari 2000 - 2013 Sekondari tena - miaka 13 ni sekondari ili hii? 😀 Alafu huyu ndo wakutuita kenge? #TutaelewanaTu

Kenge kama kenge 🤣

1997 - 1998 Sekondari

2000 - 2013 Sekondari tena - miaka 13 ni sekondari ili hii? 😀
Alafu huyu ndo wakutuita kenge? 
#TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

🤣🤣 ila safari hii Bi Kizimkazi analo! Anapigwa nje na ndani Nje ananyooshwa na Tundu Antiphas Lissu na John Heche Ndani yupo na Gwajimanization 🤣 bora ange-ignore sasa kaanzisha new war front Bado Gen Z 🇰🇪 kwao hii ni extracurricular activity #TutaelewanaTu

🤣🤣 ila safari hii Bi Kizimkazi analo!
Anapigwa nje na ndani
Nje ananyooshwa na <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> na <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> 
Ndani yupo na Gwajimanization 🤣 bora ange-ignore sasa kaanzisha new war front 
Bado Gen Z 🇰🇪 kwao hii ni extracurricular activity 
#TutaelewanaTu
Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

TARATIBU ZA KUFUTA AU KUSITISHA UFANYAJI KAZI WA JUMUIYA AU TAASISI YA KIDINI. Nivema kutambua kwamba Katika muktadha wa Tanzania, utaratibu wa kisheria na kikanuni wa kufuta dhehebu au jumuiya ya kidini unategemea masharti yaliyowekwa chini ya sheria na kanuni husika na siyo

TARATIBU ZA KUFUTA AU KUSITISHA UFANYAJI KAZI WA JUMUIYA AU TAASISI YA KIDINI.

 Nivema kutambua kwamba Katika muktadha wa Tanzania, utaratibu wa kisheria na kikanuni wa kufuta dhehebu au jumuiya ya kidini unategemea masharti yaliyowekwa chini ya sheria na kanuni husika na siyo
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️BISHOP GWAJIMA’S CHURCH SURROUNDED BY POLICE VEHICLES - PROBABLY THE ABDUCTION SQUAD‼️ After deregistering his church for condemning abductions in #Tanzania , now late night attack on the Church indicates that Samia Suluhu has sent the death squad to abduct him If they reach

MWANAMAPINDUZI (@machumukadutu) 's Twitter Profile Photo

BWANA ni mtu wa vita, BWANA ndilo jina lake. #Kutoka15:3 Kinachoendelea sasa hivi Makao Makuu ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Tanzania kwa Askofu Josephat Gwajima Bishop Josephat Gwajima PhD Mbunge wa Jimbo la Kawe. #StateVsChurch

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Police is now teargassing people in church! Samia Suluhu umetangaza vita na wakristo? Unaweza kufanya haya mskitini? Unapiga mabomu ya machozi? Jitathminii! Kuna mipaka unavuka ni hatari na haina reverse! Mi nitakushauri bila kuchoka! Eniwei #TutaelewanaTu

Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

Huyu hadaiwi na Mtu....Siyo Muhalifu. ...Hajadhulumu Mtu kitu chochote. Tatizo lake kubwa kama lipo ni kuwa Mkweli... Tatizo lake ni kuwa nafikra huru.... Tatizo lake ni kuipenda Tatizo lake ni kukosoa kisichokuwa sawa Tatizo lake ni kuipenda na kuota kuwa na TANGANYIKA YETU.

Huyu hadaiwi na Mtu....Siyo Muhalifu. ...Hajadhulumu Mtu kitu chochote.
Tatizo lake kubwa kama lipo ni kuwa Mkweli...
Tatizo lake ni kuwa nafikra huru....
Tatizo lake ni kuipenda
Tatizo lake ni kukosoa kisichokuwa sawa
Tatizo lake ni kuipenda na kuota kuwa na TANGANYIKA YETU.
nkindikwa Kijana Mzalendo (@davidlev43david) 's Twitter Profile Photo

Watanzania tunatakiwa kushikamana saana ktk kipindi hichi coz viongozi wengi wamepewa sifa nakujiona kwamba wanaweza kufanya lolotena hakuna mtu wakuwafanya kitu Hivyo silaha tuliyobakiza ni umoja wetu. Ili kukomesha dhulumandani ya nchi.

Necto Kitiga (@nectokitiga) 's Twitter Profile Photo

Kodi zetu zinatumika vibaya sana na serikali ya ccm chini ya rais Samia Suluhu hebu fikiria huu ujinga na upumbavu unaofanywa na polisi halafu ukute hela zilizotumika kununua hizi risasi, mambomu nk ni fedha za mikopo.

MWANAMAPINDUZI (@machumukadutu) 's Twitter Profile Photo

Hapa nikiwa nawatuliza waumini wasifanye fujo watawanyike kwa amani kosa walilofanya polisi ni kuja kunikamata ndipo vurugu ikatokea kati ya Polisi dhidi ya waumini wa Ufufuo na Uzima. #Tutasali

MWANAMAPINDUZI (@machumukadutu) 's Twitter Profile Photo

Mtu anamaombi wewe una mabomu unampiga kama gaidi. Tangu machifu, waganga wa jadi na wachawi walipomuweka Rais kuwa chifu Mkuu wakristo wanapitia wakati mugumu sana. #TUTAKUWEPO cc SATIVA17

Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

Naona kwa kujua au kutokujua Polisi na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi mnawatia Ujasiri wa Utayari wa Tanganyika? Hili ni Kanisa Moja! Nidhehebu moja! Matumizi haya ya nguvu na Silaha dhidi ya Haki hii ya Wakristo hawa Kuabudu ni Kinyime cha sheria na hata kufungiwa kwa