Ibrahim J. Isaya (@ibrahimjisumaye) 's Twitter Profile
Ibrahim J. Isaya

@ibrahimjisumaye

Jesus follower, Seventh-day Adventist || Author || Teacher || Social Psychologist

ID: 1185848170510729216

calendar_today20-10-2019 09:21:35

18,18K Tweet

4,4K Followers

1,1K Following

Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

Mungu mwenyewe ana penda sifa na Kupendwa . Daa enewei ...kama haiku uumi ungenyamaza ni vema tuheshimu dhamana na tuheshimu hisia za wananchi wanao tusikiliza hata kama hawatuelewi na hatuamini kuwa walituchagua.

Mungu mwenyewe ana penda sifa na Kupendwa .

Daa enewei  ...kama haiku uumi ungenyamaza ni vema tuheshimu dhamana na tuheshimu hisia za wananchi wanao tusikiliza hata kama hawatuelewi na  hatuamini kuwa walituchagua.
CHADEMA Tanzania (@chadematz) 's Twitter Profile Photo

Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu iliyopo jijini Arusha imetoa uamuzi muhimu unaoitaka Tanzania kufanya marekebisho ya baadhi ya vifungu vya Katiba vinavyohusiana na masuala ya uchaguzi na haki za kidemokrasia. Uamuzi huo umetolewa Machi 6, 2026 katika kikao cha 80

Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu iliyopo jijini Arusha imetoa uamuzi muhimu unaoitaka Tanzania kufanya marekebisho ya baadhi ya vifungu vya Katiba vinavyohusiana na masuala ya uchaguzi na haki za kidemokrasia. 

Uamuzi huo umetolewa Machi 6, 2026 katika kikao cha 80
Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

Siku 34 zimepita tangu kesi ya Uhaini inayomkabili Mhe. Tundu Antiphas Lissu isimame, hii ni baada ya ombi la mapitio lililofunguliwa na Jamhuri katika mahakama ya rufaa, ambayo halijapangiwa tarehe hadi leo.

Siku 34 zimepita tangu kesi ya Uhaini inayomkabili Mhe. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> isimame, hii ni baada ya ombi la mapitio lililofunguliwa na Jamhuri katika mahakama ya rufaa, ambayo  halijapangiwa tarehe hadi leo.
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️🚨DPP AMWANDIKIA JAJI MKKUU AINGILIE KESI YA LISSU ‼️ Kesi ya Lissu imewabana serikalini maana kawashinda kitaalam mahakamani sasa wanataka Jaji Mkuu aitishe faili aipitie na awape pointi za ushindi bure! 🙄 Kwa kifupi DPP na ofisi yake wanataka 1. Kupitiwa kwa uamuzi wa

‼️🚨DPP AMWANDIKIA JAJI MKKUU AINGILIE KESI YA LISSU ‼️
Kesi ya Lissu imewabana serikalini maana kawashinda kitaalam mahakamani sasa wanataka Jaji Mkuu aitishe faili aipitie na awape pointi za ushindi bure! 🙄
Kwa kifupi DPP na ofisi yake wanataka 
1.  Kupitiwa kwa uamuzi wa
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

"Nimeshasema hawa viongozi HAWANA ECONOMIC FOCUS, kama wanayo waionyeshe". Father KITIMA anaendelea kupiga Panapouma. SIKILIZA SHULE KUTOKA KWA PHD KITIMA. REPOST 200

Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

YUKO WAPII? 2 Timotheo 1:7 Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi. UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI UTALIPONYA TAIFA. BAK MWABUKUSI.

YUKO  WAPII?

2 Timotheo 1:7
Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi. 

UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI UTALIPONYA TAIFA.

BAK MWABUKUSI.
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Na Mwandishi wetu: Leo Watanzania wameamka na taarifa mbaya, "Gharama za mafuta zaongezeka". Kuongezeka kwa bei ya mafuta nchini sasa si takwimu tu ni hali halisi inayogusa maisha ya kila siku ya mwananchi wa kawaida. Kuanzia nauli za daladala, gharama za usafirishaji wa bidhaa,

Na Mwandishi wetu:

Leo Watanzania wameamka na taarifa mbaya, "Gharama za mafuta zaongezeka". Kuongezeka kwa bei ya mafuta nchini sasa si takwimu tu ni hali halisi inayogusa maisha ya kila siku ya mwananchi wa kawaida. Kuanzia nauli za daladala, gharama za usafirishaji wa bidhaa,
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

AFCON 2027 TANZANIA haitakuwepo na hii kampeni tutaifanya kwa WIVU MKUBWA SANA. Kama tulivyosema hakutakuwa na UCHAGUZI 2025 na haukufanyika na sasa tunaenda kuzuia AFCON isifanyike. Mwaga moto kama DRAGON kama unaungana na mimi🔥🔥🔥 REPOST 500 #NoDemocracyNoAfcon

AFCON 2027 TANZANIA haitakuwepo na hii kampeni tutaifanya kwa WIVU MKUBWA SANA.

Kama tulivyosema hakutakuwa na UCHAGUZI 2025 na haukufanyika na sasa tunaenda kuzuia AFCON isifanyike.

Mwaga moto kama DRAGON kama unaungana na mimi🔥🔥🔥

REPOST 500

#NoDemocracyNoAfcon
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Muda ni mwalimu MZURI Naona leo John Marwa wa Jambo TV upo Makao Makuu ya CHADEMA unarusha live press ya Makam huku ukitumia page ya Chadema Twitter (Followers 700k+) ambayo akina Mrema waliiba then wewe umeibadili jina na kuiita Royol Media. Acha utapeli rudisha page yetu.

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Dkt. Lazarus Chakwera (Rais wa zamani wa Malawi) yupo Tanzania kama Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola (commonwealth), Shirley Botchwey. Dkt. Lazarus Chakwera yupo nchini Tanzania kwa ajili ya kuleta mazingira wezeshi ya mazungumzo na utulivu wa kisiasa baada ya

Dkt. Lazarus Chakwera (Rais wa zamani wa Malawi) yupo Tanzania kama Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola (commonwealth), Shirley Botchwey.

Dkt. Lazarus Chakwera yupo nchini Tanzania kwa ajili ya kuleta mazingira wezeshi ya mazungumzo na utulivu wa kisiasa baada ya