Halima Bulembo
@halimabulembo
| District Commissioner - Kigamboni | Member of Parliament 2015 - 2020 | Diplomat | @SimbaSCTanzania ❤️| Mother of Two | Patriot of the U.R.T | Wifey |
ID: 4250007807
http://www.ccm.or.tz 22-11-2015 14:09:18
1,1K Tweet
13,13K Followers
230 Following
Nimevutiwa sana na ujumbe wa kumtakia heri ya kuzaliwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kutoka kwa dada zetu Lady JayDee Flaviana Matata fatma karume aka Shangazi Rose Mayemba na wenzao. Inapendeza kuona akina dada bila kujali tofauti zao za kiitikadi na fani kujumuika pamoja kumtia moyo Rais.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Halima Bulembo Halima Bulembo amewataka Watendaji na Askari kutotumia nguvu kuwahamisha Wajasiriamali bali watumie ubunifu wa kuwajengea mazingira mazuri ya biashara. DC Halima ameyasema haya baada ya Wajasiriamali kulalamikia vitendo vinavyofanywa
Kutoka kushoto ni Mhe. Kemirembe Lwota Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Mhe. Halima Bulembo Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Mhe. Amina Makilagi Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana pamoja na Mhe. Sakina Jumanne Mohamed Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe wakiwa katika shule ya Mwalimu Julius Nyerere kwa
Congratulations, Faustine Ndugulile, on your election to serve as the next WHO African Region Regional Director — it is a great privilege, and a very great responsibility. I and the entire World Health Organization (WHO) family in Africa and around the world will support you every step of the way. #RC74AFRO