Felix Mallya (@gfehma) 's Twitter Profile
Felix Mallya

@gfehma

Travel and Safaris company Owner. Deals with Game Drive Safaris, Accommodations and Mt Kilimanjaro climbing...

ID: 252513435

linkhttp://www.gfehmatrekking.com calendar_today15-02-2011 10:35:14

5,5K Tweet

420 Followers

2,2K Following

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Kuna wale watu wanaheshima zao kwenye Jamii afu gafla unakuja kumuona live anavuta SIGARA—huwaga inachosha sana. Mfano kuna siku niliona video ya LUGUMI anavuta sigara nilichoka aisee. Kipindi hicho nafuatilia kandanda, mtu niliekuwa namkubali ni HAJI MANARA, nae nikaja kuona

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Mwaka mmoja jela, aliyekutupa jela sasa ni mhalifu wa kimataifa; amejiweka mbali na wananchi. Mwaka mmoja jela, ilitarajiwa tufarakane na tupoteane; lakini tumeimarika maradufu. Mwaka mmoja jela, umepukutisha wapinzani unde; tumevuna imani ya umma. MUNGU NI MWEMA🙏🏽

Mwaka mmoja jela, aliyekutupa jela sasa ni mhalifu wa kimataifa; amejiweka mbali na wananchi. 

Mwaka mmoja jela, ilitarajiwa tufarakane na tupoteane; lakini tumeimarika maradufu.

Mwaka mmoja jela, umepukutisha wapinzani unde; tumevuna imani ya umma.

MUNGU NI MWEMA🙏🏽
MWANAMAPINDUZI (@machumukadutu) 's Twitter Profile Photo

MHE. TUNDU LISSU UMETIMIZA MWAKA MMOJA NDANI YA KUTA ZA GEREZA‼️ Leo Tarehe 09 Aprili 2026, ni Mwaka mmoja tangu alivyokamatwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe Tundu Lissu na kushitakiwa kesi kesi ya uhaini. Leo siyo siku ya ukimya bali ni siku ya kukataa hofu na kuikumbusha historia

MHE. TUNDU LISSU UMETIMIZA MWAKA MMOJA NDANI YA KUTA ZA GEREZA‼️

Leo Tarehe 09 Aprili 2026, ni Mwaka mmoja tangu alivyokamatwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe Tundu Lissu na kushitakiwa kesi kesi ya uhaini. Leo siyo siku ya ukimya bali ni siku ya kukataa hofu na kuikumbusha historia
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Kuna wakati mamlaka huogopa zaidi wazo kuliko mtu. Na hofu hiyo hujificha nyuma ya nguvu, sheria, na vifungo lakini kiini chake ni kile kile woga wa ukweli usiodhibitika. Wanasema wanaogopa misimamo yako. Labda si wewe binafsi wanayeogopa bali kile unachowakilisha uhuru wa fikra,

Kuna wakati mamlaka huogopa zaidi wazo kuliko mtu. Na hofu hiyo hujificha nyuma ya nguvu, sheria, na vifungo lakini kiini chake ni kile kile woga wa ukweli usiodhibitika. Wanasema wanaogopa misimamo yako. Labda si wewe binafsi wanayeogopa bali kile unachowakilisha uhuru wa fikra,
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Bravo, hii ni kubwa na ya muhimu………. Tundu Lissu kakubali kuteseka jela kwa ajili ya nchi yetu ni lazma na sisi tujitoe kwa ajili yake.

SIASA SAFI (Nyegere Wa Afrika/Honey badger) (@ikindakani11826) 's Twitter Profile Photo

Hata kama nitakufa kesho, TUNDU LISSU nampenda sana❤️❤️ vijana hasa wadogo kizazi Cha GENZ, huyu mwamba ni mkombozi wetu,tumpiganie kwa nguvu kubwa na kwa namna yeyote uwezavyo. Free TUNDU LISSU ✌️✌️✌️ ▶️Retweet500 Follow 👉 CHADEMA NI IMANI❤️(Nyegere Wa Afrika/Honey badger)

Hata kama nitakufa kesho, TUNDU LISSU nampenda sana❤️❤️ vijana hasa wadogo kizazi Cha GENZ, huyu mwamba ni mkombozi wetu,tumpiganie kwa nguvu kubwa na kwa namna yeyote uwezavyo.
Free TUNDU LISSU ✌️✌️✌️
▶️Retweet500
Follow 👉 <a href="/IkindaKani11826/">CHADEMA NI IMANI❤️(Nyegere Wa Afrika/Honey badger)</a>
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Mama Samia , naomba kukupa taarifa kuwa, mazungumzo kati ya Marekani na Iran yamefeli huko Pakistan. Hii inaashiria hatari ya hali kurudi katika mvutano mkali zaidi, hata kuzidi ilivyokuwa mwanzo. Dalili zake zinaonekana wazi, ushindani mkubwa wa kununua mafuta utaongezeka, hasa

Mama Samia , naomba kukupa taarifa kuwa, mazungumzo kati ya Marekani na Iran yamefeli huko Pakistan. Hii inaashiria hatari ya hali kurudi katika mvutano mkali zaidi, hata kuzidi ilivyokuwa mwanzo. Dalili zake zinaonekana wazi, ushindani mkubwa wa kununua mafuta utaongezeka, hasa
Ezekiel (@ezekiel451282) 's Twitter Profile Photo

Ndungu watanzania tunatakiwa kujiandaa kwa ajili ya maandamano makubwa ya kushinikiza kuachiliwa kwa mtetezi wetu ambaye maisha yake ameyatoa kwaajiri yetu tangu akiwa shuleni historia yake imejieleza ameishi maisha ya kupigania haki za watu wote bila kujari dini lika Wala chama

Ndungu watanzania tunatakiwa kujiandaa kwa ajili ya maandamano makubwa ya kushinikiza kuachiliwa kwa mtetezi wetu ambaye maisha yake ameyatoa kwaajiri yetu tangu akiwa shuleni historia yake imejieleza ameishi maisha ya kupigania haki za watu wote bila kujari dini lika Wala chama
Thadei Mhabuka (@mhabukat) 's Twitter Profile Photo

TUNDU LISU SIO MHAINI TUNDU LISU SIO MHAINI TUNDU LISU SIO MHAINI TUNDU LISU SIO MHAINI TUNDU LISU SIO MHAINI TUNDU LISU SIO MHAINI TUNDU LISU SIO MHAINI

TUNDU LISU SIO MHAINI 
TUNDU LISU SIO MHAINI 
TUNDU LISU SIO MHAINI
TUNDU LISU SIO MHAINI 
TUNDU LISU SIO MHAINI
TUNDU LISU SIO MHAINI
TUNDU LISU SIO MHAINI
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Anaandika Godbless Lema Swali la wasiwasi ni hili, nani anamuandalia audience Dr Lazarus Chakwera katika vikao vyake Dar kuhusu October 29 ? Kama wapambe wao wanaojiita wagombea Urais walipelekwa kwenye kikao kukutana na Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa wakiongozwa na Sisty

Anaandika Godbless Lema

Swali la wasiwasi ni hili, nani anamuandalia audience Dr Lazarus Chakwera katika vikao vyake Dar kuhusu October 29 ? Kama wapambe wao wanaojiita wagombea Urais walipelekwa kwenye kikao kukutana na Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa wakiongozwa na Sisty
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️ 🚨 MFUMO WA UHAMIAJI UME COLLAPSE ‼️ Jamani hali bado haijatengamaa ila tatizo ni KUBWA Kwa mujibu wa mtoa taarida mfumo unaonekana kuharibiwa kwa makusudi kwani umefuta kumbukumbu zote za paspoti, visa, na hata mipakani kuingia. Ni kwamba taarifa zote kuanzia mwaka 2025

‼️ 🚨 MFUMO WA UHAMIAJI UME COLLAPSE ‼️
Jamani hali bado haijatengamaa ila tatizo ni KUBWA 
Kwa mujibu wa mtoa taarida mfumo unaonekana kuharibiwa kwa makusudi kwani umefuta kumbukumbu zote za paspoti, visa, na hata mipakani kuingia. Ni kwamba taarifa zote kuanzia mwaka 2025
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Uongozi imara nje na ndani ya kuta za gereza ndo hii 🔥 Walidhani wakimnyima John Heche kuonana na Tundu Antiphas Lissu basi mmoja wao atalainika 😁😁 Bwana weee wakakutana na miamba wakipigwa tafu na manaibu na katibu mkuu MNYIKA John John wasiotetereka! Sasa inabidi wapokee spana tu 👊🏽🔥

Uongozi imara nje na ndani ya kuta za gereza ndo hii 🔥
Walidhani wakimnyima <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> kuonana na <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> basi mmoja wao atalainika 😁😁
Bwana weee wakakutana na miamba wakipigwa tafu na manaibu na katibu mkuu <a href="/jjmnyika/">MNYIKA John John</a> wasiotetereka!
Sasa inabidi wapokee spana tu 👊🏽🔥