Mustafa Sharif (@mzanzibari00) 's Twitter Profile
Mustafa Sharif

@mzanzibari00

International Development Expert I Youth I Livelihood I Innovation I Design Thinking I Adaptive Leadership

ID: 1695491315453001728

calendar_today26-08-2023 17:40:40

7 Tweet

4 Followers

27 Following

One Young Tanzania (@oneyoungtz) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ”ŠJoin us *TOMORROW EVENING* for a conversation led by Pamoja Youth Initiative as we Unpack how youth can contribute to Policy-Making Processes ๐Ÿ“… 16th February 2024 โฐ 6pm EAT ๐Ÿ“ X Space One Young Tanzania Save the date โœจShare with a friend. See you there!

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ”ŠJoin us *TOMORROW EVENING* for a conversation led by <a href="/pamoja_youth/">Pamoja Youth Initiative</a> as we Unpack how youth can contribute to Policy-Making Processes

๐Ÿ“… 16th February 2024 
โฐ 6pm EAT 
๐Ÿ“ X Space <a href="/OneYoungTZ/">One Young Tanzania</a> 

 Save the date
โœจShare with a friend. See you there!
Ismail Jussa (@ismailjussa) 's Twitter Profile Photo

Afrika inajifunza nini kutokana na Uchaguzi Mkuu wa #Senegal? Sikiliza uchambuzi ulioshiba kutoka kwa Zitto MwamiRuyagwa Kabwe ambaye alikuwepo #Dakar kama mwangalizi wa Uchaguzi huo. youtu.be/PL69U_tKWlU?siโ€ฆ

Omar Said Shaaban (@omarshaaban80) 's Twitter Profile Photo

Hoja yako KC mstaafu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe na tangazo la kubadilika kwa jina la Tume limenifikirisha sana. Nimejaribu kufikiri kuhusu viapo vya Makamishna wa Tume. Wameapa kuitumikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi na sio Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Nikawaza hawa hawahitaji kuapa Upya ?

Hoja yako KC mstaafu <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> na tangazo la kubadilika kwa jina la Tume limenifikirisha sana. Nimejaribu kufikiri kuhusu viapo vya Makamishna wa Tume. Wameapa kuitumikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi na sio Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Nikawaza hawa hawahitaji kuapa Upya ?
Omar Said Shaaban (@omarshaaban80) 's Twitter Profile Photo

Mojawapo Ya Matatizo Makubwa Tulionayo Ni Walio Madarakani Kudhani Madaraka Yanawapa Akili Na Busara Kubwa Kuliko Wenzao Wasio Madarakani. Ni Kama Vile Kuna Imani Kwamba Unapokua Madarakani Huna Lolote La Kujifunza Kutoka Kwa Watu Wasio Madarakani.

Mojawapo Ya Matatizo Makubwa Tulionayo Ni Walio Madarakani Kudhani Madaraka Yanawapa Akili Na Busara Kubwa Kuliko Wenzao Wasio Madarakani. Ni Kama Vile Kuna Imani Kwamba Unapokua Madarakani Huna Lolote La Kujifunza Kutoka Kwa Watu Wasio Madarakani.
Ruqayya Mahmoud Nassir (@ruqayyanassir) 's Twitter Profile Photo

"Tunaitaka Serikali kutumia njia endelevu za kuandaa na kuajiri wahudumu wa afya ili kuimarisha huduma za afya kwenye ngazi zote, ikiwa ni pamoja na kuhamasisha madaktari, wauguzi na wakunga kufanya kazi kwenye maeneo ya vijijini."