
Moris daudi
@modarisy
#Democracy is Life💚
ID: 247683034
05-02-2011 10:06:53
7,7K Tweet
1,1K Followers
4,4K Following




Na huo ndio ukweli,John Heche kakalia majungu na lugha za kibaguzi na matusi kwa kudhani ndio kuongoza taasisi ya kisiasa hivyo.








Eeeh,😳😳 Godbless E.J. Lema unaongeleaje hii??au ndio zile pesa za ford ulikuwa unafata?



Natafuta Uamuzi wa Mahakama ya Rufaa aliowahi kuandika current CJ, George Masaju! Nataka kuona uwezo wake!!! Mpale Mpoki fatma karume aka Shangazi Tito Magoti Kheri R. Mbiro Tundu Antiphas Lissu Fulgence Miku Boniface Mwabukusi Rugemeleza Nshala Issa Shivji



John Heche Mlituaminisha Mkipewa uongozi wa juu wa chama unyonge utaisha, malalamiko yataisha, kutekwa kutaisha. Maana aliekua mwenyekiti alitumika na kulea haya, Cha ajabu kwenu ndio imezidi. Bora yule aliweza hata kuandamana na Binti yake, nyie mnabwekea mitandaoni tu.Stupid
