KILANGASU 😎 (@kinasti13) 's Twitter Profile
KILANGASU 😎

@kinasti13

SUKA/DRIVER🚛🚦 big fan arsenal
never complain never explain

ID: 1569639979873374208

calendar_today13-09-2022 10:52:03

1,1K Tweet

300 Followers

314 Following

Dr Calipso (@nulphin) 's Twitter Profile Photo

Chaguo la wananchi. Kati ya Tundu Antiphas Lissu na Freeman Mbowe nani kati yao anafaa kukiongoza chama hiki kikuu cha Upinzani kukivusha katika Giza hili totoro Re post kwa Lissu. 🔁 Like kwa Mbowe. ❤️

Chaguo la wananchi.
Kati ya <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> na <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a> nani kati yao anafaa kukiongoza chama hiki kikuu cha Upinzani kukivusha katika Giza hili totoro

Re post kwa Lissu.  🔁 
Like kwa Mbowe.     ❤️
TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Safari ya Lissu 'kutoka' kijijini Mahambe hadi 'bosi' wa CHADEMA Kijiji cha Mahambe, wilayani Ikungi, mkoani Singida, kimekuwa kitovu cha shangwe baada ya Tundu Lissu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Karibu sana ofisini, Mwenyekiti wa nne katika awamu ya saba ya uchaguzi wa chama chetu, Tundu Antiphas Lissu. Wanachama wamekukabidhi mtoto wetu, CHADEMA. Umuongoze kwa miaka mitano. Tunalo jukumu moja kubwa mbele yetu. Kutafuta kuongoza Serikali kwa kupambana na INTERAHAMWE (MaCCM).

Karibu sana ofisini, Mwenyekiti wa nne katika awamu ya saba ya uchaguzi wa chama chetu, <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a>. Wanachama wamekukabidhi mtoto wetu, CHADEMA. Umuongoze kwa miaka mitano. Tunalo jukumu moja kubwa mbele yetu. Kutafuta kuongoza Serikali kwa kupambana na INTERAHAMWE (MaCCM).
Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Hutakufa bali utaishi Wataomba ukae nao meza moja mle na kunywa Kwa mapenzi yako kwetu utakata kula na waliochafuka mikono Siku ya tatu utafufuka katika wafu (Kesi zako zote zitafutwa)

Hutakufa bali utaishi

Wataomba ukae nao meza moja mle na kunywa

Kwa mapenzi yako kwetu utakata kula na waliochafuka mikono

Siku ya tatu utafufuka katika wafu (Kesi zako zote zitafutwa)
Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

“Katika hali ya kawaida, nani anaharibu amani? Anayetumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka yeye au yule anayesema ‘jamani turudi mezani ili tuangalie mifumo yetu ya uchaguzi kwani mifumo ya sasa haiwezi kutupatia viongozi wa haki na kweli’?” amehoji Askofu Pisa.

Joel Msuya (@joelymsuya) 's Twitter Profile Photo

“Nani anaharibu AMANI anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani mfumo wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI?Waliokamatwa kwa kudai HAKI wakiwepo viongozi wa vyama vya siasa waachiwe haraka bila masharti”

Balozi Wa Kusini (@baloziwakusini) 's Twitter Profile Photo

fezoo *21* kisha weka namba ambayo haipatikan afu malizia na # kujitoa ni #002# sasa hiyo unawez ukachukua hata cm ya dem wako ukabonyeza *21* then namba yako ,, hapo call zake zote znakuja kwko

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

"UKWELI WA MUNGU ni kama maji utapenya tuu, utatafuta nyufa na utaonekana" Dkt Joseph Mosha. Sambaza neno hili la MUNGU kila kona ya nchi walisikie. Repost 400🚨🚨 TUTAKUWEPO🫵😎