Upo Kama pachichi ndani laini laini haupo Kama kabichi kuoshwa Mara hamsini wewe ni uoto wa asili yaan kijani kibichi kaa chini tafakali unipe uongozi wa inchi. ๐
Ukishazama tu kwenye Dm ya Demu humu we sio Anonymous tena haya Leo ni mwanetu minyoo, Tunasubiri Kunguni, Chawa, Mende na wengineo maana mmepewa majina ya wanyama