Hamis Yusuf (@hamisyusuf25083) 's Twitter Profile
Hamis Yusuf

@hamisyusuf25083

ID: 1758429232131121153

calendar_today16-02-2024 09:53:57

27 Tweet

69 Followers

948 Following

Mudryk Jr (@mudryk_jr) 's Twitter Profile Photo

𝗪𝗔𝗞𝗨𝗨...🙏 Kamwe usione aibu kupambana, Hakuna aibu ya kunuka jasho unapotafuta hela ya perfume, Tafuta pesa, fanya mazoezi, nunua vitu unataka Maneno ya watu kamwe hayatokulipia bili zako.

Sekenke One 🌻 (@alexsamoja) 's Twitter Profile Photo

Ukibahatisha kupata mke bora mtunze sana, hata ukiwa na kamchepuko kako, hakikisha wife home hajui, Tafiti zinaonesha kwenye watu 10 walioa ni watu wawili tu hupata mke, 8 hupata watu wenye maumbile ya kike ila hawana sifa za MKE,, Ukibahatisha mtunze ✍️

ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

Umemaliza chuo ila bado una deal na DREAM LEAGUE na PES bila uhakika wa income on daily bases. Bado unadanganywa na kodi inayosoma mpaka mwezi wa 10 au 11. Bado unajidanganya na kiasi ulicho save na hautaki kurudi home kwa namna yoyote. Bro haupo safe. Kosa la kwanza kwa

Ambele Young (@ambele_young) 's Twitter Profile Photo

Josip Iličić: Mwamba aliyepotea kisoka baada ya kumfumania Mke wake. Josip Iličić ni mchezaji wa mpira wa miguu aliyewahi kutikisa ulimwengu wa soka kwa uwezo wake wa kiufundi na magoli ya kipekee. Akiwa katika kilele cha uwezo wake na Atalanta, Iličić alikumbwa na changamoto ya

Josip Iličić: Mwamba aliyepotea kisoka baada ya kumfumania Mke wake.

Josip Iličić ni mchezaji wa mpira wa miguu aliyewahi kutikisa ulimwengu wa soka kwa uwezo wake wa kiufundi na magoli ya kipekee. Akiwa katika kilele cha uwezo wake na Atalanta, Iličić alikumbwa na changamoto ya
Rastafarian culture (@ireneigora) 's Twitter Profile Photo

Kuna kipindi nlikuwa sina kazi kiasi wapangaji wenzangu wote walinikariri mie jobless alafu ndo muda wote nipo home sinaga pa kwenda ukiachilia mbali hata nikiamua kwenda sehemu nauli sina wao wana kazi 😪sa kulikuwa na group la wapangaji yaan kila anaenunua Umeme anatupia humo

GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

"Lengo langu la Kwanza ni Kubadirisha Mifumo ya Utawala, na Hivi karibu tatabadirisha Katiba yetu ambayo ilikua inampa Nguvu Mtu Mmoja, Tutatengeneza Katiba itakayokua na Nguvu kwa WanaNchi wa Burkinafaso, hatutaki katiba inayomfanya Kiongozi Kua mungu Mtu" :~Capt: Ibrahim Traole

"Lengo langu la Kwanza ni Kubadirisha Mifumo ya Utawala, na Hivi karibu tatabadirisha Katiba yetu ambayo ilikua inampa Nguvu Mtu Mmoja, Tutatengeneza Katiba itakayokua na Nguvu kwa WanaNchi wa Burkinafaso, hatutaki katiba inayomfanya Kiongozi Kua mungu Mtu" :~Capt: Ibrahim Traole
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Dunia ni uwanja katili kwa watu maskini. Dunia haiwezi kukuonea huruma kwa sababu wewe ni maskini. Usiuzimie na kuhududu umaskini. Usikubali kuitwa mnyonge. Ukiwa masikini ni ngumu sana kuwa gentleman. Hakuna upendo kwenye umaskini. Hauwezi kumfungulia mpenzi mlango wa daladala.

Paul Bonaventure (@phbhimself) 's Twitter Profile Photo

Ukweli usiosemwa NB: Hii ni ngumu kumeza Dunia ni tambarare na haizunguki yenyewe wala haizunguki jua bali jua na vitu vyote angani vinaizunguka dunia. Na milango yetu yote ya fahamu inatuambia hivyo maana jua tunaliona kila siku linavyotuzunguka, kwasababu tunaliona mizunguko

Ukweli usiosemwa

NB: Hii ni ngumu kumeza

Dunia ni tambarare na haizunguki yenyewe wala haizunguki jua bali jua na vitu vyote angani vinaizunguka dunia.

Na milango yetu yote ya fahamu inatuambia hivyo maana jua tunaliona kila siku linavyotuzunguka, kwasababu tunaliona mizunguko
Farhan Kihamu Jr (@fkihamu) 's Twitter Profile Photo

Namsikiza Mheshimiwa Lissu hapa Power Breakfast ya CLOUDS FM, TAL anasema akichaguliwa sawa na asipochaguliwa hakuna shida itabaki tu kuwa hakuwahi kuwa Mwenyekiti wa CDM. Ila anauliza kelele zinatoka wapi wakati hata FAM hajatangaza nia ya kugombea Uenyekiti?😀

Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Weka chuki pembeni, leo Arsenal wamepiga mpira kweli kweli na wamestahili kushinda hii game. Wape Retweet na Like iwe kama sehemu ya kuonesha Respect kwao.

Weka chuki pembeni, leo Arsenal wamepiga mpira kweli kweli na wamestahili kushinda hii game. Wape Retweet na Like iwe kama sehemu ya kuonesha Respect kwao.
Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Wengi wameona maajabu ya Arsenal ya kuifunga Madrid Magoli Matano (5) tena home and away na kuindoa kwenye UEFA, lakini wachache wametambua Ubora wa Mikel Arteta kwenye kuisuka hii timu. Huyu mwamba ni kocha kweli kweli. Tumpe heshima yake kwa kuretweet mpaka ujumbe huu umfikie.

Wengi wameona maajabu ya Arsenal ya kuifunga Madrid Magoli Matano (5) tena home and away na kuindoa kwenye UEFA, lakini wachache wametambua Ubora wa Mikel Arteta kwenye kuisuka hii timu. Huyu mwamba ni kocha kweli kweli. Tumpe heshima yake kwa kuretweet mpaka ujumbe huu umfikie.
Gift Macha (@gift_macha) 's Twitter Profile Photo

Nimekua kwenye mahusiano tofauti... Nimeona mengi. Ila ushauri wangu kwa Wanaume, tafuta Mwanamke angalau anaweza kujihudumia kwa kiasi fulani. Ukiona Mwanamke hadi akitaka kuosha kucha anataka pesa utoe wewe, huyo HAFAI.. KIMBIA

Farhan Kihamu Jr (@fkihamu) 's Twitter Profile Photo

Mzaliwa wa Gungu huko Magharibi mwa Tanzania mwisho wa reli Kigoma, zao la Academy ya Alliance hapo Jiji la Miamba, Mwanza naweza kusema ndio Mwanaume pekee aliyebaki hai kwenye dimba la Simba, kaimaliza mechi bila kadi kwasababu moja tu, alicheza sana mpira wa akili, makosa ya

Mzaliwa wa Gungu huko Magharibi mwa Tanzania mwisho wa reli Kigoma, zao la Academy ya Alliance hapo Jiji la Miamba, Mwanza naweza kusema ndio Mwanaume pekee aliyebaki hai kwenye dimba la Simba, kaimaliza mechi bila kadi kwasababu moja tu, alicheza sana mpira wa akili, makosa ya