Emmanuel Mwankina (@emmanuelmwanki1) 's Twitter Profile
Emmanuel Mwankina

@emmanuelmwanki1

Husband || Father ||
Current party secretary -Chadema Kawe Constituency|| IT - specialist || Musician || Christ's Disciple || Human rights defender/Activist.

ID: 1188533664751280128

calendar_today27-10-2019 19:11:46

8,8K Tweet

576 Followers

614 Following

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Kimewaka sana Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam mchana wa leo katika mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu A.M Lissu. Leo asubuhi aliletwa shahidi mmoja, alivyomaliza ushahidi wake wa kizandiki, Jaji akaagiza aletwe shahidi mwingine. Mawakili wa

Kimewaka sana Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam mchana wa leo katika mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu A.M Lissu. Leo asubuhi aliletwa shahidi mmoja, alivyomaliza ushahidi wake wa kizandiki, Jaji akaagiza aletwe shahidi mwingine. Mawakili wa
Int'l Criminal Court (@intlcrimcourt) 's Twitter Profile Photo

On the margins of the #AUSummit in Addis Ababa, #ICC Deputy Prosecutor Mame Mandiaye Niang met with H.E Mahmoud Thabit Kombo, Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation of #Tanzania.

On the margins of the #AUSummit in Addis Ababa, #ICC Deputy Prosecutor Mame Mandiaye Niang met with H.E Mahmoud Thabit Kombo, Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation of #Tanzania.
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Tundu Lissu Show; The Legal Titan. Hali ya hewa leo mahakama kuu ilichafuka, asubuhi na mapema, na safari hii si kwa radi ya angani, bali kwa ngurumo za kisheria kutoka kwa gwiji, Tundu Lissu. Mahakamani kulikuwa na “shule ya bure,” upande wa Jamhuri ukijikuta kwenye wakati

Tundu Lissu Show; The Legal Titan.

Hali ya hewa leo mahakama kuu ilichafuka, asubuhi na mapema, na safari hii si kwa radi ya angani, bali kwa ngurumo za kisheria kutoka kwa gwiji, Tundu Lissu.

Mahakamani kulikuwa na “shule ya bure,” upande wa Jamhuri ukijikuta kwenye wakati
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Nimetoka Gereza la Ukonga kumuona Mwenyekiti… Nimefanya kila jitihada kuweza kumuona nimezuiliwa kinyume cha sheria na utaratibu uliopo. Mfungwa au mahabusu anaweza kutembelewa na ndugu, rafiki, jamaa yake, kiongozi mwenzake au mtu yeyote. Kwanini sisi tunazuiliwa kumuona

Nimetoka Gereza la Ukonga kumuona Mwenyekiti…

Nimefanya kila jitihada kuweza kumuona nimezuiliwa kinyume cha sheria na utaratibu uliopo.

Mfungwa au mahabusu anaweza kutembelewa na ndugu, rafiki, jamaa yake, kiongozi mwenzake au mtu yeyote. 

Kwanini sisi tunazuiliwa kumuona
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume

Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume
Rugemeleza Nshala (@rugemeleza) 's Twitter Profile Photo

Kuwashikilia wanachama wa Chadema wanaokwenda Musoma kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ni uvunjaji wa wazi kabisa wa Ibara ya 20, 26(2) na 29(1)-(2) & (5) za Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Hakuna amri yoyote au zuio lolote lile la Mahakama juu ya Wanachadema

Emmanuel Mwankina (@emmanuelmwanki1) 's Twitter Profile Photo

THIS TIME AROUND, TAFADHARI SANA MUWAFUNGULIE KESI ASAP. Tunajua mahakama zetu, lakini kesi zifunguliwe kwa ajili ya kuweka kumbu kumbu sawa !!!!!

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

OKTOBA 29, 2025; UHALIFU DHIDI YA BINADAMU HAUWEZI KUSAHAULIKA. Mahakama ya Brussels, Belgium, imeamua kwamba mwanadiplomasia wa zamani, Étienne Davignon (93), atashtakiwa kwa kuhusika na mauaji ya kiongozi wa kwanza wa DR Congo, Patrice Lumumba, mwaka 1961. Hii itakuwa ni

OKTOBA 29, 2025; UHALIFU DHIDI YA BINADAMU HAUWEZI KUSAHAULIKA.

Mahakama ya Brussels, Belgium, imeamua kwamba mwanadiplomasia wa zamani, Étienne Davignon (93), atashtakiwa kwa kuhusika na mauaji ya kiongozi wa kwanza wa DR Congo, Patrice Lumumba, mwaka 1961. 

Hii itakuwa ni
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Ninyi ambao mnataka hiyo tume iliyoundwa kuchunguza kitu kinachoitwa ‘matukio ya uvunjifu wa amani’, mnataka taarifa yake kwa matumizi gani? Kama awali tulisema uundwaji wake hauna uhalali, ni batili, kwanini tusumbuke wao wakihangaika kuhairisha na kuchakata uongo, uzushi na

millardayo (@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatollah Seyyed Mojtaba Khamenei, ametoa pongezi kwa Wananchi wa Iran kufuatia kusitishwa kwa muda wa wiki mbili kwa vita kati ya Iran dhidi ya Israel na Marekani iliyoanza tangu Februari 28 2026. Khamenei ameelekeza pongezi zake

Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatollah Seyyed Mojtaba Khamenei, ametoa pongezi kwa Wananchi wa Iran kufuatia kusitishwa kwa muda wa wiki mbili kwa vita kati ya Iran dhidi ya Israel na Marekani iliyoanza tangu Februari 28 2026.

Khamenei ameelekeza pongezi zake
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Hongereni sana CHADEMA! Hata siku mkianza kupata ruzuku msiache Tone tone in fact mkiwa madarakanuli FUTENI ruzuku - hii ndo future ya siasa! Ukiaminiwa unapewa sapoti na jamii! Na vyama vyote vinatakiwa visipewe ruzuku - mbona briefcase vyama vitakufa mapemaaa? Eniwei

Hongereni sana CHADEMA!
Hata siku mkianza kupata ruzuku msiache Tone tone in fact mkiwa madarakanuli FUTENI ruzuku - hii ndo future ya siasa! 
Ukiaminiwa unapewa sapoti na jamii!
Na vyama vyote vinatakiwa visipewe ruzuku - mbona briefcase vyama vitakufa mapemaaa?
Eniwei
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Basi hapa ndo kuna watu roho zinawaumaaaa 😁 Yaani ni kwamba Tundu Lissu hakwepeki🔥 Sasa ndo mtajua hamjui! Mlimsingizia uhaini ila mjumbe maalum wa Jumuiya ya Madola kamtembelea jela na kumsikiliza! Mwachieni Lissu msimpotezee muda Eniwei mmeshaambiwa na Umoja wa Mataifa mlipe

Basi hapa ndo kuna watu roho zinawaumaaaa 😁 Yaani ni kwamba Tundu Lissu hakwepeki🔥
Sasa ndo mtajua hamjui! Mlimsingizia uhaini ila mjumbe maalum wa Jumuiya ya Madola kamtembelea jela na kumsikiliza! Mwachieni Lissu msimpotezee muda
Eniwei mmeshaambiwa na <a href="/UmojaWaMataifa/">Umoja wa Mataifa</a> mlipe
CHADEMA Tanzania (@chadematz) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Elizabeth Mwakimomo, ametoa wito kwa wananchi kuungana katika maombi kwa ajili ya Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. ​Akizungumza leo, Mwakimomo amesisitiza kuwa msimamo wa Lissu

Mamwavi_Nkabasia (@joeselasini) 's Twitter Profile Photo

Watanzania ICHANGIENI CHADEMA ifanye kazi zake. Mimi nimekuwa ktk siasa za upinzani tangu 1990. Nawashuhudia Chadema ndio chama pekee kinachojali masilahi yetu. Kama mtadharau ushuhuda huu mtalia na kusaga meno.

Dr. Chris Cyrilo (@drcyrilo) 's Twitter Profile Photo

Kama mawakili Paul Kisabo na Adv. Dickson Matata wanatumiwa na TISS basi ni faida kwa wengi wetu. Nikiwa Polisi Central, Matata na Matauka walifika haraka nikiwa naandikisha maelezo, na walinisaidia bure wkt wote wa kesi. Kisabo pia alinitumia ujumbe akitaka kunisaidia kisheria.

Kama mawakili <a href="/Advocate_Kisabo/">Paul Kisabo</a> na <a href="/AdvMatata/">Adv. Dickson Matata</a> wanatumiwa na TISS basi ni faida kwa wengi wetu.
Nikiwa Polisi Central, 
Matata na Matauka walifika haraka nikiwa naandikisha maelezo, na walinisaidia bure wkt wote wa kesi. Kisabo pia alinitumia ujumbe akitaka kunisaidia kisheria.
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Uovu wa kisasa hauji katika sura ya kutisha; unakuja ukiwa umejipamba kwa nakshi ya mafanikio. Ibilisi wa leo havai mapembe, bali anavaa suti, anamiliki iPhone, na anatumia teknolojia ya kisasa kama chambo cha kututeka akili. Tupo katika hatari kubwa sana. Wale ambao zamani

Uovu wa kisasa hauji katika sura ya kutisha; unakuja ukiwa umejipamba kwa nakshi ya mafanikio. Ibilisi wa leo havai mapembe, bali anavaa suti, anamiliki iPhone, na anatumia teknolojia ya kisasa kama chambo cha kututeka akili. Tupo katika hatari kubwa sana. Wale ambao zamani