Ezzo (@erickgalus) 's Twitter Profile
Ezzo

@erickgalus

harakatiii

ID: 1418996878780342277

calendar_today24-07-2021 18:11:10

337 Tweet

207 Followers

541 Following

Genious✍️ (@chibelube) 's Twitter Profile Photo

Dunia inahitaji watu majasiri, Hii Dunia haitaki tena watu lelema, Ukiendelea kutia huruma Hakuna mtu atakuonea huo huruma.

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Hii ni damu ya Mdude Nyagali baada ya makazi yake huko Iwambi, Mbeya kuvamiwa na watu waliojitambulisha ni polisi. Walibomoa mlango wa nyumbani kwake na kuingia ndani wakiwa na silaha za moto. Watu hao wamempiga na kumvuta chini damu ikimwagika kuelekea pahali kusikojulikana.

Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

.HATUKO SALAMA ? Nimepokea habari Usiku huu kwamba Jeshi la polisi Mbeya limefika nyumbani kwa Mdude Mpaluka Nyagali . Baada ya kufika wamevunja mlango na kuingia ndani na kumpiga wa kitumia vitu mbalimbali na kumjeruhi na baadaye kuondoka naye. Huu ni muendelezo wa kukithiri

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

"Huyu mama nimemshangaa" 🤣 KANISA KATOLIKI linagonga sana Spana wazee. Hili kanisa nimechelewa sana kulijua mimi MMOROVIANI.🤣 KWANZIA SASA MIMI NI MKATOLIKI. "Ndege wafananao wanaruka pamoja". #TUTAKUWEPO🫵😎