OMUSHAIJA ENTARE
@edwinchelialis
ID: 1561967024389214210
23-08-2022 06:42:45
19,19K Tweet
1,1K Followers
1,1K Following
Peter Madeleka Poti unajitoa sana ufahamu recently, alichokisema Heche ndio msimamo wa CDM tokea awali, reforms zinapatikana vipi bila kurudi kwenye meza ya majadiliano? Reforms zikifanyika kwanini wasirudi kwenye uchaguzi? Wao hawakatai uchaguzi ila wanakataa uchaguzi bila reforms.
Huyu aliyevaa kiraia ni nani na anafanya nini hapo na Tundu Antiphas Lissu kizimbani??? Yaani mtu kama Gerson Msigwa anatuambia tupuuze ishu ya Lissu kupewa sumu wakati watu wasio na utambulisho rasmi na makaunda suti zao wanamsogelea Lissu hadi kizimbani? Nasubiri Mahakama ya Tanzania mtueleze
Heri ya siku ya kuzaliwa John Heche ... Hii picha imepigwa August 2008. Hii ilikuwa ni katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Tarime, baada ya kufariki Chacha Zakayo Wangwe. Ni miaka 17 sasa imepita. Hapa ni siku tumerudisha fomu yako ya kugombea udiwani kupitia CHADEMA - kata ya
"Mimi nilishinda Uchaguzi kwa watu kufa, nilitangazwa kwa vita"-; Mhe. John Heche
EastAfricaTV Dodoma pamekua karibu na rahisi kufika kuliko pale kisutu kwenye kesi ya TAL, mzee ile legacy aliyokua aiache anaanza kuipaka matope mwenyewe!!!