Ndolagi Boniphace (@dalalindolagi) 's Twitter Profile
Ndolagi Boniphace

@dalalindolagi

Secretary General Tanzania

ID: 2177861704

calendar_today12-11-2013 07:17:21

640 Tweet

86 Takipçi

133 Takip Edilen

Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Nilipita Kumjulia hali Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi Recho Kasanda aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Matibabu Wakati Nikielekea Uwanja Wa Ndege Wa Dar es Salaam Kuenda Dodoma Kushiriki Uapishwaji wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ikulu Chamwino Novemba 09,

Nilipita Kumjulia hali Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi Recho Kasanda aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Matibabu Wakati Nikielekea Uwanja Wa Ndege Wa Dar es Salaam Kuenda Dodoma Kushiriki Uapishwaji wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ikulu Chamwino Novemba 09,
𝐒𝐢𝐚𝐬𝐚 𝐙𝐞𝐭𝐮 (@siasazetu) 's Twitter Profile Photo

Hivi akina SUGU, MDEE, BULAYA, MBOWE na wenzao wakiamka asubuhi wanaenda wapi, maana wenzao akina GWAJIMA na MwanaFA wakiamka asubuhi wanavaa suti wanaelekea kwenye vikao vya Bunge.

Hivi akina SUGU, MDEE, BULAYA, MBOWE na wenzao wakiamka asubuhi wanaenda wapi, maana wenzao akina GWAJIMA na MwanaFA wakiamka asubuhi wanavaa suti wanaelekea kwenye vikao vya Bunge.
LoveLife❤ (@mabo_trd) 's Twitter Profile Photo

Hivi Zitto unafahamu tunakusanya Trillion 1.3 kila mwezi, Na hao EU wanatupa Trillion 1.6 kwa miaka 6 ndio watupangie tuendeshe vipi nchi? Hela ambayo tunatengeneza ndani ya mwezi mmoja tu. Hii kazi muachie Jemedari wetu Magufuli, wewe kauze dagaa Kibirizi masuala ya nchi huwezi

LoveLife❤ (@mabo_trd) 's Twitter Profile Photo

Muonekano wa Stesheni ya Reli ya Kisasa - SGR mkoani Morogoro. Stesheni hii iko katika hatua za mwisho za ujenzi wake na inatarajiwa kuanza kutumika Aprili 2021.

Muonekano wa Stesheni ya Reli ya Kisasa - SGR mkoani Morogoro. Stesheni hii iko katika hatua za mwisho za ujenzi wake na inatarajiwa kuanza kutumika Aprili 2021.
Dr Mankind Uwezo (@mankinduwezo) 's Twitter Profile Photo

Majembe yapo kazini, wale mapoyoyo na wapiga debe wa mabeberu wamepoteana. Wengine wamekimbilia Ubelgiji, wengine Kenya, wengine wapo Marekani 🤣🤣 wanatunzwa na wanaume wengine!🤣🤣🤣🤣 Magufuli, majaliwa na suluhu ni jibu la wwtz

Majembe yapo kazini, wale mapoyoyo na wapiga debe wa mabeberu wamepoteana. Wengine wamekimbilia Ubelgiji, wengine Kenya, wengine wapo Marekani 🤣🤣 wanatunzwa na wanaume wengine!🤣🤣🤣🤣 Magufuli, majaliwa na suluhu ni jibu la wwtz
MR BEN (@eric__bernard) 's Twitter Profile Photo

Asasi za Kiraia zote zinazoteteaga haki za Wanawake hili la Wabunge Viti Maalum 19 CHADEMA wamekaa kimya Kabisa. Leo wanawake wenzao wanafukuzwa hadi wanaitwa Majina ya Ajabu kama Covid-19 ila Asasi zimenyamaza Kabisa! Inafikirisha Sana

Ndolagi Boniphace (@dalalindolagi) 's Twitter Profile Photo

Hongera timu yangu Young Africans SC jana tumeshinga sisi sio wanyonge, kanuni za CAF zimetunyima kombe. Always there is a next time and will be back there more strong.👏👏👏 Eng. Ndembo Jafari Ali Kamwe

Ndolagi Boniphace (@dalalindolagi) 's Twitter Profile Photo

Ifikie hatua Dunia ielewe kwamba ni Tanzania hapa na haya yamefanywa club bora Africa ambayo iko ndani ya Top 5 nayo ni Young Africans SC iliyochini ya Eng. Hersi Said na timu yake makini. TUNAJIVUNIA YANGA YETU YA AFRIKA Eng. Ndembo Jafari Ali Kamwe Arafat Ally Haji Young Africans SC

Ifikie hatua Dunia ielewe kwamba ni Tanzania hapa na haya yamefanywa club bora Africa ambayo iko ndani ya Top 5 nayo ni <a href="/yangasc1935/">Young Africans SC</a>  iliyochini ya <a href="/Caamil8/">Eng. Hersi Said</a> na timu yake makini.
TUNAJIVUNIA YANGA YETU YA AFRIKA
<a href="/ndembo255/">Eng. Ndembo Jafari</a> <a href="/AliKamwe/">Ali Kamwe</a> <a href="/Arafat__AH/">Arafat Ally Haji</a> <a href="/yangasc1935/">Young Africans SC</a>