Celestine Simba
@celestine_simba
Mgombea ubunge jimbo la ULANGA 2020 (CHADEMA)na SPIKA WA BUNGE LA WANANCHI.
ID: 1076434296364302342
22-12-2018 11:08:30
1,1K Tweet
3,3K Takipçi
671 Takip Edilen
‼️🚨TUNDUMA NENDENI HARAKA KUCHUKUA MIILI YA WAPENDWA WENU GODOWN YA VWAWA‼️ Tuache woga na tusikubali kunyimwa miili Ninyi watanganyika mnaohusika kumsaidia huyu Shetani mwuaji Samia Suluhu kuficha miili ACHENI ❌ Wahini na DAINIA Bodies of those killed in Tunduma are stored at
Huyu Tahara ameichomesha serikali ya Tanzania kwa Marekani US Embassy Tanzania Hamza kama mwanasheria anajua maandamano sio kosa kabisa ndani ya sheria zetu na Katiba yetu Hivyo anaposema lazima kumkamate na anasema kimwanamke kile ( amekuwa personal na kutumia nyege kama Vile mange
‼️🚨WAWEKEZAJI WAMEANZA KURUDI NYUMA‼️ Mtu mjinga atabomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe! Kwa mujibu wa taarifa za mdau Samia Suluhu alikaa kikao na wawekezaji wakubwa DP World kufuatia mauaji halaiki na vurugu ya kufunga mitandao nk Sasa alijua ni wajomba watampa sapoti