Christian Bwaya
@bwaya
Reading @Psychology | Teaching @Psychology | Writing @Psychology | Building @LITanzania |
ID:38410139
07-05-2009 11:03:48
36,3K Tweets
10,4K Followers
983 Following
January Makamba is just different. Nafahamu pia kwamba kuna gharama ya kulipa hapa Tanzania kama ukiwa different au extraordinary. What do you do? You block out all the noises and you keep going. #KaziInaendelea
Chuo Kikuu cha Dodoma kimetangaza Program maalum ya #InnovationAndEmployabilitySkills kwa wanafunzi wake. Hizi ni saa 25 za warsha 11 zinazolenga kukuza ujuzi wa kuajirika —kutumia maarifa ya darasani kujiajiri na kuajiriwa.
Aidha, vijana wengine wasio wanafunzi wanakaribishwa.
took me five weeks (reading an average of 15 pages per day) to finish this book my brother Rakesh Rajani blessed me w/ in july 2023. it’s a very good book w/ a chilling message: humans overestimate their rationality in making decisions and choices about their lives.
Christian Bwaya The University of Dodoma June 8 mpaka 16 nitakuwa nafanya Exams OUT
Daah, mafunzo ya maana kabisa haya kuhudhuria
Dr Sophia Mfaume Kizigo, PhD mimi sitashiriki mjadala wa gari bali nikupongeze kwa kuwa tayari kujibu maswali na kujadiliana na wenye fikra mbadala kwenye public forum ukiwa sober-minded. Hii ni sifa nzuri kwa kiongozi wa kisiasa na sio wote wenye uwezo huu.
Well done.
Christian Bwaya The University of Dodoma Hii nzuri ila ilitakiwa ianzie shule ya upili ( secondary school)
Christian Bwaya Mfundishe akajifundishe, muongoze akajiongoze, msimamie akajisimamie, mlee akajilee, akutegemee akajitegemee ...; ndani ya mtu kuna UWEZO WOTE.