The Undercover Bishop (@askofumkuutz) 's Twitter Profile
The Undercover Bishop

@askofumkuutz

All the hidden into public light

ID: 1486257444640731138

calendar_today26-01-2022 08:39:39

985 Tweet

1,1K Followers

150 Following

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Happy birthday Mtumishi wa Umma usiye na Mshahara. Happy birthday Ninja. Happy birthday Mutu ya Vita. Happy birthday last man in the Castle. Happy birthday Baba Freeman. Happy birthday Baba Helon. Happy birthday mpiga spana. Happy birthday........................Malizia wewe

Happy birthday Mtumishi wa Umma usiye na Mshahara. 
Happy birthday Ninja.
Happy birthday Mutu ya Vita.
Happy birthday last man in the Castle.
Happy birthday Baba Freeman.
Happy birthday Baba Helon.
Happy birthday mpiga spana.

Happy birthday........................Malizia wewe
Vitus Nkuna (@vitusnkuna) 's Twitter Profile Photo

Wanawane Masanja Katibu kumkandamiza shemeji yetu hiyo ndio Wajianga ndio waliwao si ndio😁😁😁. Turudie kwa pamoja kusoma ujumbe wa mwendazake Katibu

Wanawane <a href="/mkandamizaji/">Masanja</a>  Katibu kumkandamiza shemeji yetu hiyo ndio Wajianga ndio waliwao si ndio😁😁😁. Turudie kwa pamoja kusoma ujumbe wa mwendazake Katibu
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

"CHADEMA tunaamini umasikini ni laana. Lakini Watanzania wameendelea kuwa masikini kwa sababu CCM na Serikali inayoiongoza wanadhani umaskini ni sifa"..... Mhe Freeman Mbowe

"CHADEMA tunaamini umasikini ni laana. Lakini Watanzania wameendelea kuwa masikini kwa sababu CCM na Serikali inayoiongoza wanadhani umaskini ni sifa"..... Mhe <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a>
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Dee Perfumes ARUSHA ZONE Masanja Mimi maskini tu, mwananchi wa kawaida na mpiga kura… siwezi kuona shida kusifia utajiri wa mwenyekiti wa chama changu. usinikasirikie. Be inspired..

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Dee Perfumes ARUSHA ZONE Masanja Be inspired. Don’t hate dude. As Eubie Black said, Be grateful for luck. Pay the thunder no mind - listen to the birds. And don’t hate nobody.

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Dee Perfumes ARUSHA ZONE Masanja It’s ok! Dave Grohl, American Musician, founder of the rock band Foo Fighters, once said, You look up to your heroes and you shouldn’t be intimidated by them; you should be inspired by them.

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Serikali katili ya CCM iliagiza magari kwa ajili ya shughuli na matumizi ya serikali yenye thamani ya shilingi 35.29 bilioni za kitanzania. Magari hayo yaliyonunuliwa na WAKALA wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) hayakupokelewa na hayajulikani yalipo hadi sasa. Yameyeyuka.

Serikali katili ya CCM iliagiza magari kwa ajili ya shughuli na matumizi ya serikali yenye thamani ya shilingi 35.29 bilioni za kitanzania.

Magari hayo yaliyonunuliwa na WAKALA wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) hayakupokelewa na hayajulikani yalipo hadi sasa. Yameyeyuka.
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Rwanda ni Rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Spika wa Seneti na mkuu wa Mahakama ya Juu pekee ndio wana hadhi ya kuwa na gari la serikali la zaidi ya 2000cc. Gari yenye 2000cc (mfano Toyota Innova) hutumia Lita 12.5-14/100km katika mizunguko ya mjini, wakati katika barabara kuu

Rwanda ni Rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Spika wa Seneti na mkuu wa Mahakama ya Juu pekee ndio wana hadhi ya kuwa na gari la serikali la zaidi ya 2000cc.

Gari yenye 2000cc (mfano Toyota Innova) hutumia Lita 12.5-14/100km katika mizunguko ya mjini, wakati katika barabara kuu
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella ukipita katika barabara za lami zilizojengwa kisasa zaidi. Unateleleza tu. Hakika, Tanzania ya sasa inapendeza na kung’ara. Watanzania tumeridhika. Kidumu chama cha mapinduzi. #MamaYukoKazini #MitanoTena #RoyalTour 👍

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

God when, it’s finally here. Mrembo anitafute tuyajenge. Adui yangu ni CCM siyo mahabuba wangu. Atapendwa huyu hadi ajionee wivu. Hit my DM. 💕

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Taarifa hii haijitoshelezi… Kwamba “anayedaiwa kutekwa”? Kwamba hakutekwa? Siku zaidi ya 30 tangu kupotea kwa mtanzania huyo bado linatumika neno “anadaiwa kutekwa na HAMAS”? Clemence amefariki kutokana na kitu gani? Ameuwawa na HAMAS au mashambulizi ya Israeli? Wapi?

Taarifa hii haijitoshelezi… 

Kwamba “anayedaiwa kutekwa”? Kwamba hakutekwa? Siku zaidi ya 30 tangu kupotea kwa mtanzania huyo bado linatumika neno “anadaiwa kutekwa na HAMAS”? 

Clemence amefariki kutokana na kitu gani? Ameuwawa na HAMAS au mashambulizi ya Israeli? Wapi?
Peter Madeleka (@pmadeleka) 's Twitter Profile Photo

Baada ya KUBAMBIKIA watu KESI nyingi, hicho 👇ndicho ALICHOLIPWA mstaafu huyo. Sasa anaomba MSAADA wa KISHERIA. Chezea KIKOKOTOO weye 😀😀😀😀

Baada ya KUBAMBIKIA watu KESI nyingi, hicho 👇ndicho ALICHOLIPWA mstaafu huyo. Sasa anaomba MSAADA wa KISHERIA. Chezea KIKOKOTOO weye 😀😀😀😀
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

FADHILA ZA PUNDA NI MATEKE Wakati Mwita Waitara anatoka Dar es Salaam jimbo la Ukonga kwenda kugombea Ubunge Tarime Vijijini alipokelewa na kupiganiwa kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini na Mwenyekiti mstaafu wa Mkoa wa Mara Bw. Samuel Kiboye A.K.A Namba 3. Leo Mwenyekiti mstaafu

FADHILA  ZA PUNDA NI MATEKE

Wakati Mwita Waitara anatoka Dar es Salaam jimbo la Ukonga kwenda  kugombea Ubunge Tarime Vijijini alipokelewa na kupiganiwa kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini na Mwenyekiti mstaafu wa Mkoa wa Mara Bw. Samuel Kiboye A.K.A Namba 3.

Leo Mwenyekiti mstaafu
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

KIPARA na wizara yake wameandika taarifa ya kifo cha ndugu Clemence Felix Mtenga huko Israeli kama wamekatwa vichwa. Taarifa kama ya BAIKOKO. Taarifa ya wizara haijaeleza chanzo cha kifo cha Clemencee na hata mji aliofariki haujulikani, na hakuna sehemu wameeleza nani katoa

KIPARA na wizara yake wameandika taarifa ya kifo cha ndugu Clemence Felix Mtenga huko Israeli kama wamekatwa vichwa. Taarifa kama ya BAIKOKO.

Taarifa ya wizara haijaeleza chanzo cha kifo cha Clemencee na hata mji aliofariki haujulikani, na hakuna sehemu wameeleza nani katoa