Alvin Makini (@alvinmakini) 's Twitter Profile
Alvin Makini

@alvinmakini

ID: 1498324642238550025

calendar_today28-02-2022 15:50:42

13,13K Tweet

181 Followers

294 Following

Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Habari njema: Rais wa TEC yaani Askofu Wolfgang Pisa amesema kuwa Padri Kitima anaendelea vizuri na atarejea kwenye majukumu yake hivi karibuni. Itakumbukwa kuwa Padri Kitima alishambuliwa alipokuwa kwenye Ofisi za TEC jijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi Aprili.

Habari njema: Rais wa TEC yaani Askofu Wolfgang Pisa amesema kuwa Padri Kitima anaendelea vizuri na atarejea kwenye majukumu yake hivi karibuni. Itakumbukwa kuwa Padri Kitima alishambuliwa alipokuwa kwenye Ofisi za TEC jijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi Aprili.
Rugemeleza Nshala (@rugemeleza) 's Twitter Profile Photo

Ushenzi aliofanyiwa Shujaa Agether Atuhaire halikubaliki na ni lazima lichunguzwe na vyombo vya haki vya kimataifa. Halafu Kuna mbunge anaita watu kuwa ni kenge.

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Naona mnataka kumtisha Bishop Gwajima kwa kumwita polisi?! Sasa mmemwitia nini? Kwa kumtolea mfano Abduli!? Acheni upumbavu Chama Cha Mapinduzi - midume mizima mnamwogopa Bi Kizimkazi? ๐Ÿ˜€ Yaani ingawa Gwajima ana mapungufu yake ila kaonyesha uzalendo na ujasiri kuliko midume yote

Naona mnataka kumtisha Bishop Gwajima kwa kumwita polisi?! 
Sasa mmemwitia nini? Kwa kumtolea mfano Abduli!?
Acheni upumbavu <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> - midume mizima mnamwogopa Bi Kizimkazi? ๐Ÿ˜€

Yaani ingawa Gwajima ana mapungufu yake ila kaonyesha uzalendo na ujasiri kuliko midume yote
#BRINGBACKDANIELCHONCHORIO (@manaal_ms) 's Twitter Profile Photo

Siku 69 ๐Ÿ’” Bila maombi nisingekua na matumaini ya wewe kuwepo, siachi na sikomi kukuombea daniel, kila siku bado ni ya kupigania kukuona tena. Utarudi kwa Neema ya Mungu ๐Ÿซ‚ #BRINGBACKDANIELCHONCHORIO

Siku 69 ๐Ÿ’” 
Bila maombi nisingekua na matumaini ya wewe kuwepo, siachi na sikomi kukuombea daniel, kila siku bado ni ya kupigania kukuona tena. Utarudi kwa Neema ya Mungu ๐Ÿซ‚
#BRINGBACKDANIELCHONCHORIO
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Wanaojiandaa kuteuliwa viti maalum mitkasi yao ni kumpendeza mama tu. Hawana muda na mpiga kura. Mtu kama huyu akifika bungeni lazima akuite kenge. You donโ€™t matter! Do you? Abolish viti maalum.

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Haya mambo hatutayachukulia wa wepesi, lakini hatutakimbia Nchi yetu kwasababu hakuna kosa tumefanya. Hatutarudi nyuma hata kidogo.

Haya mambo hatutayachukulia wa wepesi, lakini hatutakimbia Nchi yetu kwasababu hakuna kosa tumefanya.

Hatutarudi nyuma hata kidogo.
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Hiyo pichani ni moja kati ya nyumba 8 anazojenga Wambura, Mkuu wa Polisi Tanzania, 2 zimakamiliki 6 zinaendelea kujengwa. Nyumba zipo Goba kwa Ulomi Saleko Kiwesi street. Ndani huko kwenye compound kuna Mercedes Benz kali na Labd Cruiser, zote za bilionea Wambura zimepaki humo

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Askofu Gwajima kwa kukemea utekaji na mauaji ya watu anastahili kupongezwa sio kushambuliwa. Huyu Tarimba angetekwa mtoto wake angeongea upuuzi ule? Mimi naunga mkono hoja ya Gwajima na mtu mwingine yoyote atakaejitokeza kutetea haki ya watu kuishi.

MR KIMMโ„ข๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช (@mrkimmke) 's Twitter Profile Photo

Kenyans on Twitter Vs Tanzania members of Parliament๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ The memes are another level ๐Ÿ˜‚ How did they even get Tz Mps what's app numbers?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ See thread ๐Ÿ‘‡

Mwananchi Newspapers (@mwananchinews) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amesema wanahitaji mabadiliko ya sheria za uchaguzi ili Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye ni mgombea mteule wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ashindane na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, kwenye

M A G I R I (@kiganyi_) 's Twitter Profile Photo

Anaposema wasipewe ushirikiano na huduma ana maana gani? Au wakienda hata hospitali wasihudumiwe? Kweli uenyekiti wa Lissu umewavuruga.

iHumphreys (@ihumphreyz) 's Twitter Profile Photo

Yaani timu ya imesajili kocha na benchi lake la ufundi, imepigia kura team captain na msaidizi wake, kwa taratibu na kanuni za shirikisho, lakini msimamizi wa waamuzi hatambui safu nzima, anataka safu ipangwe na mpinzani, kisa tuu boss wa mpinzani ndo mdhamini wa ligi, aloo ๐Ÿ˜„

KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

MAGUFULI Alipambama Sana Kuiua CHADEMA Akadili Ipasavyo Na Watu Wa Chadema Waliomkosoa Tukashuhudia BEN SAANANE Anapotezwa Tukashuhudia TUNDU LISSU Anapigwa Risasi! MBOWE Biashara Zake Zikavurugwa CHADEMA Haikufa MAGUFULI Akafa. Magufuli Alishindwa MSAJILI Hatoweza Kuiua Chadema

MAGUFULI Alipambama Sana Kuiua CHADEMA Akadili Ipasavyo Na Watu Wa Chadema Waliomkosoa Tukashuhudia BEN SAANANE Anapotezwa Tukashuhudia TUNDU LISSU Anapigwa Risasi! MBOWE Biashara Zake Zikavurugwa CHADEMA Haikufa MAGUFULI Akafa. Magufuli Alishindwa MSAJILI Hatoweza Kuiua Chadema
Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile Photo

Mwezi wa saba Mwaka huu kuna jambo zito ndani ya CCM, watu watapigana ukumbini, Samia walitaka kumkataa miezi kadhaa nyuma Ila Kikwete akaingilia mpango kwenye mkutano