Abuumaryam (@abuumar06311445) 's Twitter Profile
Abuumaryam

@abuumar06311445

ID: 1596157057866031105

calendar_today25-11-2022 15:01:35

1,1K Tweet

669 Followers

2,2K Following

Sia Da Vinci๐Ÿ’Ž (@siadevinci) 's Twitter Profile Photo

Abracadabra: Kipindi tunaaminishwa kuwa Wagner wameenda Belarus, kumbe walikuwa wakiingia Libya, Mozambique, Mali, the Central African Republic, Sudan na Congo.

Abracadabra: Kipindi tunaaminishwa kuwa Wagner wameenda Belarus, kumbe walikuwa wakiingia Libya, Mozambique, Mali, the Central African Republic,  Sudan na Congo.
Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Alisoma Ufaransa kisha akaanza Kuimba Muziki.Akiwa na Miaka 30 tu baba yake akamteua kuwa Waziri kisha akawa Rais baada ya baba yake Kufariki. Shabiki wa Real Madrid na Mwanachama hai wa Freemason, aliyemleta Messi na Michael Jackson Gabon. Mwisho Ali Bongo amepinduliwa na Jeshi

Alisoma Ufaransa kisha akaanza Kuimba Muziki.Akiwa na Miaka 30 tu baba yake akamteua kuwa Waziri kisha akawa Rais baada ya baba yake Kufariki. Shabiki wa Real Madrid na Mwanachama hai wa Freemason, aliyemleta Messi na Michael Jackson Gabon. Mwisho Ali Bongo amepinduliwa na Jeshi
FELIX JASON (@iamfelixtz) 's Twitter Profile Photo

Updates ๐Ÿ‘‡ โ„น๏ธ Djuma Shabani ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ ni mali ya Azam Fc ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ baada ya kumalizana na Young Africans. โ˜‘๏ธ Signed & Sealed OFFICIAL ANNOUNCEMENT ๐Ÿ“ข ๐Ÿ”œ Azam Fc kutoka kwa Mabingwa imewapata โ„น๏ธ Feisal Salum โ„น๏ธ Yannick Bangala โ„น๏ธ Djuma Shabani

Updates ๐Ÿ‘‡

โ„น๏ธ Djuma Shabani ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ ni mali ya Azam Fc ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ baada ya kumalizana na Young Africans.

โ˜‘๏ธ Signed & Sealed

OFFICIAL ANNOUNCEMENT ๐Ÿ“ข ๐Ÿ”œ

Azam Fc kutoka kwa Mabingwa imewapata
โ„น๏ธ Feisal Salum
โ„น๏ธ Yannick Bangala
โ„น๏ธ Djuma Shabani
FELIX JASON (@iamfelixtz) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšจ Updates ๐Ÿ‘‡ โ„น๏ธ Mtanzania Novatus Dismas amejiunga na Klabu ya Shakhtar Donetst ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ akitokea Zulte Weregem ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช . โ˜‘๏ธ Novatus atacheza michuano ya UEFA champions league akiwa kundi Moja na Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ, Fc Porto ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น na Royal Antwerp ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช

๐Ÿšจ Updates ๐Ÿ‘‡

โ„น๏ธ Mtanzania Novatus Dismas amejiunga na Klabu ya Shakhtar Donetst ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ akitokea Zulte Weregem ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช .

โ˜‘๏ธ Novatus atacheza michuano ya UEFA champions league akiwa kundi  Moja na Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ, Fc Porto ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น na Royal Antwerp ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช
Ki Messi Mweusi ๐Ÿ (@1960remija) 's Twitter Profile Photo

โ€œZamani tulikuwa tunaambiwa mashabiki wa Yanga ni wengi kuliko Simba. Sijawahi kuwa na uhakika na hili mpaka sasa. Ninachojua ni kwamba mashabiki wa Yanga wanaipenda zaidi timu yao kuliko mashabiki wa Simba wanavyoipenda timu yao.โ€ - Edo Kumwembe LEGEND.

โ€œZamani tulikuwa tunaambiwa mashabiki wa Yanga ni wengi kuliko Simba. Sijawahi kuwa na uhakika na hili mpaka sasa. Ninachojua ni kwamba mashabiki wa Yanga wanaipenda zaidi timu yao kuliko mashabiki wa Simba wanavyoipenda timu yao.โ€

- Edo Kumwembe LEGEND.
Ki Messi Mweusi ๐Ÿ (@1960remija) 's Twitter Profile Photo

Yanga wametoa utaratibu wa kwenda na kurudi Kigali Rwanda mechi dhidi ya Al Merrikh ni 150k. Naona kabisa Rwanda inakwenda kutapika Wananchi. Swali langu ni kwamba, wangapi watarudi? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Yanga wametoa utaratibu wa kwenda na kurudi Kigali Rwanda mechi dhidi ya Al Merrikh ni 150k. Naona kabisa Rwanda inakwenda kutapika Wananchi. Swali langu ni kwamba, wangapi watarudi? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚