Abdulrahman simbo Silaa (@abdulrahma11082) 's Twitter Profile
Abdulrahman simbo Silaa

@abdulrahma11082

ID: 1665010367599091713

calendar_today03-06-2023 15:00:29

27 Tweet

40 Followers

573 Following

Ofisi ya Waziri Mkuu (@tzwazirimkuu) 's Twitter Profile Photo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa , Leo Juni 29, 2023, amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu katika Swala ya Eid El Adh'haa ambayo imefanyika kitaifa Jijini Dar es Salaam katika Msikiti Mkuu wa Mfalme Mohamed wa Sita, ulioko Kinondoni.

Waziri Mkuu <a href="/KassimMajaliwa_/">Kassim Majaliwa Majaliwa</a> , Leo Juni 29, 2023, amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> katika Swala ya Eid El Adh'haa ambayo imefanyika kitaifa Jijini Dar es Salaam katika Msikiti Mkuu wa Mfalme Mohamed wa Sita, ulioko Kinondoni.
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Nawatakia nyote kheri ya Sikukuu ya Eid Al Adha. Tusheherekee siku hii njema kwa amani, umoja na upendo, tukiwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi. Tutumie siku hii pia kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu azipokee ibada zetu, atusamehe makosa yetu, atuongoze katika mema, kweli na

Nawatakia nyote kheri ya Sikukuu ya Eid Al Adha. Tusheherekee siku hii njema kwa amani, umoja na upendo, tukiwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi. Tutumie siku hii pia kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu azipokee ibada zetu, atusamehe makosa yetu, atuongoze katika mema, kweli na
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Maombolezo mara baada ya kuwasili nyumbani kwa Mama Dorcas Membe Mjane wa Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje Hayati Bernard Membe Mikocheni Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Julai, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Maombolezo mara baada ya kuwasili nyumbani kwa Mama Dorcas Membe Mjane wa Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje Hayati Bernard Membe Mikocheni Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Julai, 2023.
Abdulrahman simbo Silaa (@abdulrahma11082) 's Twitter Profile Photo

Dear Friend, I am inviting you to install FARAS App and earn Tsh3000 welcome bonus. Ride and Earn with FARAS. Here is the link Onelink.to/dkx53v Please use my referral code: 682350327