DevotaTweve
@TweveDevota
Journalist | SRHR & Gender Champion | Instagram https://t.co/Op0KpkR68g
ID:2713275117
15-07-2014 21:17:33
78,4K Tweets
80,6K Followers
835 Following
Sheria ya ndoa 1971 inatoa mwanya kwa #NdoaZaUtotoni kwani inaruhusu msichana chini ya miaka 18 kuolewa.Hii inakinzana na Sheria ya Mtoto inayomtafsiri mtoto kuwa ni “mtu yeyote aliye chini ya umri wa miaka 18”
Maboresho ya #SheriaYaNdoa yanahitajika ili kumkomboa mtoto wa kike.
Makuzi ya mtoto yanahitaji ukomavu wa wazazi na kubeba majukumu, changamoto ya #NdoaZaUtotoni inampa majukumu binti mdogo anayeathirika kisaikolojia
Mimi na Webiro Wakazi Wassira #TheLeader Tayari tuko live pale mjini YouTube.
Usije angamia kwa kukosa maarifa, eti Ooh! Mimi sijui hata namna gani naweza tengeneza pesa kwenye majukwaa ya kidijitali kupitia muziki, Webiro Wakazi Wassira #TheLeader alitoa shule ya maana kabisa hapa, Hallah 👇
🔗 youtu.be/cdZQdKIt63c?si…
Lannyster Byalugaba kutoka Shirika la Children Dignity Forum (CDF) anatudokeza moja ya sifa ya shule bora. #Nitamlinda
Suala la matumizi ya taulo za kike/pedi linatakiwa kutiliwa mkazo ili kuwaepusha wasichana na magonjwa ya muwasho kutokana na baadhi yao kutumia vifaa ambavyo ni hatarishi wakati wa kujistiri mfano kinyesi cha ng’ombe na nguo zilizochakaa na chafu #HedhiSalama
Kumudu taulo za kike/pedi wakati wa kipindi cha hedhi imekuwa ni changamoto kubwa kutokana na gharama zake. Je, nini kifanyike? #HedhiSalama
Usiumize watu kwa kuwatukana na kuwatukana mtandaoni sababu unatumia jina na picha feki. #ZuiaUkatiliMtandaoni
Kaka jaribu Dig It with Imani the Podcast halafu uniambie, sina shaka utakua Goodwill ambassador baada ya kusikiliza walau episode mbili 😂
🔗 youtube.com/@digitwithiman…