HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

Dada Edna Leonard wa Shirika lisilo la Kiserikali la Child Support TZ leo anatujuza kwa nini usalama wa watoto wanapokuwa shuleni ni suala nyeti na la kuzingatiwa na wadau wote wa elimu #Nitamlinda #ShuleSalama

Dada Edna Leonard wa Shirika lisilo la Kiserikali la <a href="/Child_supportTZ/">Child Support TZ</a> leo anatujuza kwa nini usalama wa watoto wanapokuwa shuleni ni suala nyeti na la kuzingatiwa na wadau wote wa elimu #Nitamlinda #ShuleSalama
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

Leo ni siku ya pekee ambapo tunaadhimisha Siku ya #MtotoWaAfrika2024. Kauli mbiu ya mwaka huu inakazia umuhimu wa kutoa elimu kwa watoto wote kwa usawa bila kubagua jinsia, hali ya maumbile, kipato, eneo la kijiografia n.k. #ElimuJumuishi #Nitamlinda #ElimuNiNyenzo

Leo ni siku ya pekee ambapo tunaadhimisha Siku ya  #MtotoWaAfrika2024. Kauli mbiu ya mwaka huu inakazia umuhimu wa kutoa elimu kwa watoto wote kwa usawa bila kubagua jinsia, hali ya maumbile, kipato, eneo la kijiografia n.k. #ElimuJumuishi #Nitamlinda #ElimuNiNyenzo
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

Elimu Jumuishi wa Watoto Izingatie Usalama, Maarifa, Maadili, Stadi za Kazi - Ni salamu kutoka HakiElimu zikiwasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji Dr. John Kalage tunapoadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika #Nitamlinda #ElimuJumuishi

HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

▪️ Fidea Ruanda kutoka Mtandao wa Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali Wilaya ya Mtwara (MTWANGONET) anatuambia faida za mpango wa shule salama wa Walimu, Wazazi na Wanafunzi. #Nitamlinda

▪️ Fidea Ruanda kutoka Mtandao wa Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali Wilaya ya Mtwara (MTWANGONET) anatuambia faida za mpango wa shule salama wa Walimu, Wazazi na Wanafunzi. #Nitamlinda
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

▪️ Neema Msangi kutoka Children Rights Women Fund Tanzania anajibu swali letu la mwezi huu. Kwa nini shule salama ni muhimu? #Nitamlinda

▪️ Neema Msangi kutoka Children Rights Women Fund Tanzania anajibu swali letu la mwezi huu. Kwa nini shule salama ni muhimu? #Nitamlinda
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

▪️ Keneth Nchimbi kutoka Mtandao wa Elimu nchini (TEN-MET) anatueleza madhara yanayoweza kuwapata wanafunzi endapo haitakuwa na Mpango Mahususi wa Shule Salama. #Nitamlinda

▪️ Keneth Nchimbi kutoka Mtandao wa Elimu nchini (TEN-MET) anatueleza madhara yanayoweza kuwapata wanafunzi endapo haitakuwa na Mpango Mahususi wa Shule Salama. #Nitamlinda
Benedicta Mrema (@madamdeta) 's Twitter Profile Photo

HakiElimu UNICEF Tanzania Coalition for Good Schools Raising Voices Violence Against Children Hongerani sana kwa kuibua suala hili.Zipo adhabu mbadala ambazo zimedhibitishwa kuwasaidia watoto sio tuu kuwa na tabia njema lakini pia kujifunza. Adhabu ya viboko humwacha mtoto na kumbukumbu mbaya ya maumivu ambayo wengine hukuwa nayo hata wakiwa watu wazima #Nitamlinda

HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

▪️️Leo ubaoni tunaye Bi. Sara Bedah kutoka Shirika la Msichana Initiative akitueleza kwa nini ulinzi na usalama wa watoto shuleni ni jambo ambalo linahitaji kuzingatiwa na kila mmoja wetu. #Nitamlinda Read less

▪️️Leo ubaoni tunaye Bi. Sara Bedah kutoka Shirika la <a href="/MsichanaUwezo/">Msichana Initiative</a>  akitueleza kwa nini ulinzi na usalama wa watoto shuleni ni jambo ambalo linahitaji kuzingatiwa na kila mmoja wetu. #Nitamlinda
Read less
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

▪️ Meet Amina Mtengeti from MyLEGACY, a non-government organization in Tanzania. She tells us why safe schools matter. #Nitamlinda

▪️ Meet Amina Mtengeti from MyLEGACY, a non-government organization in Tanzania. She tells us why safe schools matter. #Nitamlinda
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

Shirika la HakiElimu leo limezikutanisha Asasi za Kiraia zaidi ya 15 zinazojishughulisha na utetezi na ulinzi wa haki za mtoto ndani na nje ya shule. Mkutano huu wa siku moja ulilenga kutengeneza jukwaa la pamoja la Shule Salama. #Nitamlinda

Shirika la HakiElimu leo limezikutanisha Asasi za Kiraia zaidi ya 15 zinazojishughulisha na utetezi na ulinzi wa haki za mtoto ndani na nje ya shule. Mkutano huu wa siku moja ulilenga kutengeneza jukwaa la pamoja la Shule Salama. #Nitamlinda
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

Unaposhuhudia kitendo chochote cha ukatili dhidi ya mtoto au watoto, toa taarifa mara moja katika ofisi ya Mtendaji aliye karibu, dawati la jinsia kwenye kituo cha polisi kilichopo karibu nawe au Rafiki wa Elimu au piga simu bure Namba 116. #Nitamlinda

Unaposhuhudia kitendo chochote cha ukatili dhidi ya mtoto au watoto, toa taarifa mara moja katika ofisi ya Mtendaji aliye karibu, dawati la jinsia kwenye kituo cha polisi kilichopo karibu nawe au Rafiki wa Elimu au piga simu bure Namba 116. #Nitamlinda
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

▪ Ubaoni ni orodha ya 6 ya majina ya walioahidi kuwalinda watoto dhidi ya vitendo vyote vya ukatili ndani na nje ya shule nchini. ▪ Endelea kufuatilia ukurasa huu hivi karibu tutatangaza nafasi za kujiandikisha katika kitabu chetu cha watu mashuhuri. ▪ #Nitamlinda

▪ Ubaoni ni orodha ya 6 ya majina ya walioahidi kuwalinda watoto dhidi ya vitendo vyote vya ukatili ndani na nje ya shule nchini. 
▪ Endelea kufuatilia ukurasa huu hivi karibu tutatangaza nafasi za kujiandikisha katika kitabu chetu cha watu mashuhuri. 
▪ #Nitamlinda
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

📷 Moja ya kipimo cha shule bora ni kuwepo kwa mifumo thabiti ya ulinzi na usalama wa wanafunzi dhidi ya vitendo mbalimbali vya ukatili vinavyotokea ndani na nje ya shule. 📷 Je katika shule yenu kuna mifumo ipi mahususi kwa ajili yaulinzi na usalama wa wanafunzi? #Nitamlinda

📷 Moja ya kipimo cha shule bora ni kuwepo kwa mifumo thabiti ya ulinzi na usalama wa wanafunzi dhidi ya vitendo mbalimbali vya ukatili vinavyotokea ndani na nje ya shule.
📷 Je katika shule yenu kuna mifumo ipi mahususi kwa ajili yaulinzi na usalama wa wanafunzi?
#Nitamlinda
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

▪ Ubaoni ni majina ya watanzania ambao wametoa ahadi ya kuwalinda watoto dhidi ya vitendo vyote vya ukatili ndani na nje ya shule. ▪ Hii ni orodha ya tano katika kitabu chetu cha watu mashuhuri. Endelea kufuatilia ukurasa huu. ▪ #Nitamlinda

▪ Ubaoni ni majina ya watanzania ambao wametoa ahadi ya kuwalinda watoto dhidi ya vitendo vyote vya ukatili ndani na nje ya shule.
▪ Hii ni orodha ya tano katika kitabu chetu cha watu mashuhuri. Endelea kufuatilia ukurasa huu.
▪ #Nitamlinda