Ms_Genya (@scholadecaprado) 's Twitter Profile Photo

@TAMWA wanakutana kesho, Aprili 25 na Aprili 26 kwenye mkutano mkuu wa Wanachama. Njoo ukiwa umevaa sare yako ya miaka 36 ya TAMWA, njoo tufahamiane, njoo ukijue chama chako, njoo ukutane na Wanachama wenzio 🤣🤌 #AGM2024 #ZuiaUkatiliMtandaoni

@TAMWA wanakutana kesho,  Aprili 25 na Aprili 26 kwenye mkutano mkuu wa Wanachama. 

Njoo ukiwa umevaa sare yako ya miaka 36 ya TAMWA, njoo tufahamiane, njoo ukijue chama chako, njoo ukutane na Wanachama wenzio 🤣🤌

#AGM2024  
#ZuiaUkatiliMtandaoni
Tanzania Media Women (@tamwa_) 's Twitter Profile Photo

Mkutano Mkuu wa Wanachama wa TAMWA unafanyika kesho, Aprili 25 na Aprili 26. Njoo ukiwa umevaa sare yako ya miaka 36 ya TAMWA, njoo tuzungumze, njoo tufahamiane, njoo ukijue chama chako. #AGM2024 #ZuiaUkatiliMtandaoni

Mkutano Mkuu wa Wanachama wa TAMWA unafanyika kesho,  Aprili 25 na Aprili 26. Njoo ukiwa umevaa sare yako ya miaka 36 ya TAMWA, njoo tuzungumze, njoo tufahamiane, njoo ukijue chama chako. #AGM2024  #ZuiaUkatiliMtandaoni
Holy (@yose_hoza) 's Twitter Profile Photo

Wasichana wengi wa vyuo wanashindwa kutambua thamani ya milii yao na kupelekea kudhalilishwa na wapenzi wao kwa picha chafu na video Ni lazima tuendelee kukumbushana kujijali na kuwa na misimamo ~ | Ibrahim Samatta #Beonline #ZuiaUkatiliMtandaoni

Wasichana wengi wa vyuo wanashindwa kutambua thamani ya milii yao na kupelekea kudhalilishwa na wapenzi wao kwa picha chafu na video 

Ni lazima tuendelee kukumbushana kujijali na kuwa na misimamo ~ | <a href="/samatta_ibrahim/">Ibrahim Samatta</a> 
#Beonline #ZuiaUkatiliMtandaoni
Assenga Magari Tz (@gjassenga) 's Twitter Profile Photo

Sio utani mzuri wakushabikia✍Stop attack others personality online. Nayo pia ni ukatili kama mwingine. Zipo content kibao za kupata replies n retweets. #ZuiaUkatiliMtandaoni #Tuelimishane #16Days #SasaBasi #KomeshaUkatili

Eng. Honester Kasilo (@honester_kasilo) 's Twitter Profile Photo

"Tatizo la rushwa ya ngono ni kubwa lakini limegubikwa na ukimya, wahanga wengi hawatoi taarifa wakiogopa kudhalilishwa zaidi" - Dr Rose Reuben, Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Media Women #16Days #ZuiaUkatiliMtandaoni #KomeshaUkatili

"Tatizo la rushwa ya ngono ni kubwa lakini limegubikwa na ukimya, wahanga wengi hawatoi taarifa wakiogopa kudhalilishwa zaidi" - Dr Rose Reuben, Mkurugenzi Mtendaji wa <a href="/TAMWA_/">Tanzania Media Women</a> 
#16Days 
#ZuiaUkatiliMtandaoni
#KomeshaUkatili