NASHCoP Tanzania (@tanzanianacp) 's Twitter Profile
NASHCoP Tanzania

@tanzanianacp

Ministry Of Health (MOH)

National AIDS, STIs and Hepatitis Control Programme (NASHCoP),
Box 784

[email protected]

+255(0)262960148

ID: 1327282475685572608

linkhttp://www.nacp.go.tz calendar_today13-11-2020 16:09:51

387 Tweet

493 Followers

62 Following

NASHCoP Tanzania (@tanzanianacp) 's Twitter Profile Photo

DKT. MOLLEL AZINDUA MFUMO WA AFYA JUMUISHI WA KIDIGITALI Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amezindua rasmi matumizi ya mfumo wa teknolojia inayotumika kuboresha utoaji wa huduma za afya (Afya-Tek) ndani ya Mfumo Jumuishi wa Kidigitali wa Afya ngazi ya jamii.

DKT. MOLLEL AZINDUA MFUMO WA AFYA JUMUISHI WA KIDIGITALI 

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amezindua rasmi matumizi ya mfumo wa teknolojia inayotumika kuboresha utoaji wa huduma za afya (Afya-Tek) ndani ya Mfumo Jumuishi wa Kidigitali wa Afya ngazi ya jamii.
NASHCoP Tanzania (@tanzanianacp) 's Twitter Profile Photo

Wizara ย ya Afya kupitia NASHCoP kwa kushirikiana na wadau mbalimbali inatarajia kufanya utafiti wa tathimini ya utekelezaji wa afua za kinga dhidi ya VVU na UKIMWI kwa makundi yaliyokatika hatari zaidi ya kuambukiza au kuambukizwa VVU. Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ OFISI YA WAZIRI MKUU - TAMISEMI

Wizara ย ya Afya kupitia NASHCoP kwa kushirikiana na wadau mbalimbali inatarajia kufanya utafiti wa tathimini ya utekelezaji wa afua za kinga dhidi ya VVU na UKIMWI kwa makundi yaliyokatika hatari zaidi ya kuambukiza au kuambukizwa VVU.

<a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ</a> <a href="/ortamisemitz/">OFISI YA WAZIRI MKUU - TAMISEMI</a>
NASHCoP Tanzania (@tanzanianacp) 's Twitter Profile Photo

Mkutano wa Tathmini ya utekelezaji wa Global Fund umeingia siku ya pili leo tarehe ย 18.02.2025 Jijini Dodoma,Wizara ya Afya kupitia NASHCoP imeongoza zoezi la kuwasilisha tathimini ya utekelezaji wa miradi ya GF katika huduma za VVU, UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Homa ya Ini

Mkutano wa Tathmini ya utekelezaji wa Global Fund umeingia siku ya pili leo tarehe ย 18.02.2025 Jijini Dodoma,Wizara ya Afya kupitia NASHCoP imeongoza zoezi la kuwasilisha tathimini ya utekelezaji wa miradi ya GF katika huduma za VVU, UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Homa ya Ini
NASHCoP Tanzania (@tanzanianacp) 's Twitter Profile Photo

Naibu Waziri wa afya Dkt.Godwin Molel leo tarehe 20.02.2025 ameungana na Mhe. Ummy Hamis Nderiananga, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) na viongozi wengine na wadau katika uzinduzi wa awamu ya tatu ya Mradi wa Timiza Malengo.TACAIDS Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Naibu Waziri wa afya Dkt.Godwin Molel leo tarehe 20.02.2025 ameungana na Mhe. Ummy Hamis Nderiananga, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) na viongozi wengine na wadau katika uzinduzi wa awamu ya tatu ya Mradi wa Timiza Malengo.<a href="/tacaidsinfo/">TACAIDS</a> <a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ</a>
NASHCoP Tanzania (@tanzanianacp) 's Twitter Profile Photo

ARV KUENDELEA KUPATIKANA BURE, KICHEKO KWA WATUMIAJI Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa Serikali itaendelea kuhakikisha huduma za dawa za kufubaza makali ya Virusi vya UKIMWI (ARV) zinapatikana bure kwa WAVIU wote. Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

ARV KUENDELEA KUPATIKANA BURE, KICHEKO KWA WATUMIAJI

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa Serikali itaendelea kuhakikisha huduma za dawa za kufubaza makali ya Virusi vya UKIMWI (ARV) zinapatikana bure kwa WAVIU wote. 
<a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ</a>
NASHCoP Tanzania (@tanzanianacp) 's Twitter Profile Photo

Wataalamu na Wadau mbambali wa afua za kinga dhidi ya VVU, Magonjwa ya Ngono na Homa ya Ini wamekutana Morogoro kuanzia tarehe 24 hadi 28 Februari, 2025 kuandaa Mwongozo Jumuishi wa afua jumuishi za kinga.

Wataalamu na Wadau mbambali wa afua za kinga dhidi ya VVU, Magonjwa ya Ngono na Homa ya Ini wamekutana Morogoro kuanzia tarehe 24 hadi 28 Februari, 2025 kuandaa Mwongozo Jumuishi wa afua jumuishi za kinga.