NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile
NACOPHA

@nacopha

Voice for life

ID: 4110164729

linkhttp://www.nacopha.or.tz calendar_today04-11-2015 06:44:49

461 Tweet

984 Followers

759 Following

NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

*Makamu Mwenyekiti wa Baraza Ndugu Emanuel Msinga Ashiriki Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani* Morogoro, Tanzania - Tarehe 24 Desemba 2023

*Makamu Mwenyekiti wa Baraza Ndugu Emanuel Msinga Ashiriki Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani*

Morogoro, Tanzania - Tarehe 24 Desemba 2023
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Kuelekea Siku ya UKIMWI Duniani, @nacophatz imeshiriki kikamilifu katika Kijiji cha Jamii kufuatillia kwa ukaribu ni changamoto zipi wanazopitia vijana na watoto katika suala zima la kinga dhidi ya maambukizi ya UKIMWI kwa makundi maalumu. #letcommunitieslead #jamiiiongoze2023

Kuelekea Siku ya UKIMWI Duniani, @nacophatz imeshiriki kikamilifu katika  Kijiji cha Jamii kufuatillia kwa ukaribu ni changamoto zipi wanazopitia vijana na watoto katika suala zima la kinga dhidi ya maambukizi ya UKIMWI kwa makundi maalumu. 
#letcommunitieslead
#jamiiiongoze2023
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu SBU - Dr Yonazi ametembelea banda a NACOPHA na kupongeza maandalizi mazuri kuelekea kilele cha siku ya UKIMWI duniani.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu SBU - Dr Yonazi ametembelea banda a NACOPHA na kupongeza maandalizi mazuri kuelekea kilele cha siku ya UKIMWI duniani.
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi Mtendaji, Bwana Deogratius Rutatwa, aliwapokea wageni wetu kutoka @unaids_esa, @who_tanzania, @uniceftz, @unfpatanzania na wengine, kwa shangwe, furaha na ngoma za jadi, ikionyesha utamaduni na ukarimu wetu kama wana NACOPHA. #TraditionalDance #UN #NACOPHA #HIV #AIDs

Mkurugenzi Mtendaji, Bwana Deogratius Rutatwa, aliwapokea wageni wetu kutoka @unaids_esa, @who_tanzania, @uniceftz, @unfpatanzania na wengine, kwa shangwe, furaha na ngoma za jadi, ikionyesha utamaduni na ukarimu wetu kama wana <a href="/NACOPHA/">NACOPHA</a>. 
#TraditionalDance #UN #NACOPHA #HIV #AIDs
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Bi Happiness Seneda, Katibu Tawala Mkoa wa Songwe alitukaribisha kwa moyo upendo na furaha katika safari yetu kuelekea kwenye mradi wa #JITEGEMEEICHESA wa USAID #HebuTuyajenge. #USAID #NACOPHA #HEBUTUYAJENGE #UKIMWIZIII #Tufikie959595 #BarazalaWaVIU

Bi Happiness Seneda, Katibu Tawala Mkoa wa Songwe alitukaribisha kwa moyo upendo na furaha katika safari yetu kuelekea kwenye mradi wa #JITEGEMEEICHESA wa <a href="/usaid/">USAID</a> #HebuTuyajenge.

#USAID #NACOPHA #HEBUTUYAJENGE #UKIMWIZIII #Tufikie959595 #BarazalaWaVIU
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Karibu usome Wasifu wa Kikundi Wezeshi Jitegemee Ichesa kilichopo Mahenje, Mbozi, Songwe. Kikundi hichi kimewezeshwa kwa msaada wa USAID kupitia mradi wa #HebuTuyajenge #USAID #Hebutuyajenge #NACOPHA #UN #Songwe #Mahenje #Mbozi #AIDS #HIV #UkimwiZii

Karibu usome Wasifu wa Kikundi Wezeshi Jitegemee Ichesa kilichopo Mahenje, Mbozi, Songwe. 

Kikundi hichi kimewezeshwa kwa msaada wa <a href="/USAID/">USAID</a>  kupitia mradi wa #HebuTuyajenge

#USAID #Hebutuyajenge #NACOPHA #UN #Songwe #Mahenje #Mbozi #AIDS #HIV #UkimwiZii
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Katika hatua muhimu ya kupambana na maambukizi ya UKIMWI nchini Tanzania, NACOPHA na ZAPHA+ wamesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU)! Ushirikiano huu unaashiria jitihada za pamoja za kuimarisha afua zinazolenga kupambana na UKIMWI kote nchini. Taarifa zaidi tembelea tovuti yetu.

Katika hatua muhimu ya kupambana na maambukizi ya UKIMWI nchini Tanzania, NACOPHA na ZAPHA+ wamesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU)! Ushirikiano huu unaashiria jitihada za pamoja za kuimarisha afua zinazolenga kupambana na UKIMWI kote nchini.
Taarifa zaidi tembelea tovuti yetu.
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Vijana wa NYP+ wakishiriki kutoa Elimu kwa Vijana balehe (AGYW) walio mashuleni kuhusu umuhimu wa Kupima VVU Na Kujikinga na Maambukizi Mapya ya VVU @Songea Girls Secondary

Vijana wa NYP+ wakishiriki kutoa Elimu kwa Vijana balehe  (AGYW) walio mashuleni kuhusu umuhimu wa Kupima VVU Na Kujikinga na Maambukizi Mapya ya VVU @Songea Girls Secondary
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Vijana wa NYP+ wakishiriki kutoa Elimu kwa Vijana balehe (AGYW) walio mashuleni kuhusu umuhimu wa Kupima VVU Na Kujikinga na Maambukizi Mapya ya VVU songea sparrow Girls Secondary

Vijana wa NYP+ wakishiriki kutoa Elimu kwa Vijana balehe  (AGYW) walio mashuleni kuhusu umuhimu wa Kupima VVU Na Kujikinga na Maambukizi Mapya ya VVU <a href="/Songea/">songea sparrow</a> Girls Secondary
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Makamu M/Kiti wa Baraza akipokea maelezo kuhusu Shughuli za Vikundi katika Banda la NACOPHA lililopo Kijiji Cha Jamii...

Makamu M/Kiti wa Baraza akipokea maelezo kuhusu Shughuli za Vikundi katika Banda la NACOPHA lililopo Kijiji Cha Jamii...
NACOPHA (@nacopha) 's Twitter Profile Photo

Matumizi ya ARV ni HALISI. Tumia ARV kwa USAHIHI ili UFUBAZE VVU. Matokeo yake utaishi na VVU bila kushambuliwa, bila kuambikiza na ukipima HAVITAONEKANA. Ila haimaanishi vimeisha, VINAFUBAA TU. Endelea kutumia ARV zako kwa USAHIHI. Havionekani=Haviambukizi