Mkulu Wa Nchito1 Thabit Jacob, PhD Sasa mwendazake si alikua ni swaiba wa Lord of violence odinga au umesahau? 2017 alisema kama angeshinda basi ange magulufication, pia hata juzi alisema akishinda atatumia style ya magu kuongoza na mwisho kabisa alisema yeye ndio aliekua mshauri wa magu.
Mkulu Wa Nchito1 Thabit Jacob, PhD Sasa mbona thabit kasema baba ndio alikua attempted? Huyo mwandishi atakua kapigwa mawe na magoons wa raila, umeona kule siaya walivyochoma ofisi za uda? Kisumu wamevunja hadi mochwari na kuharibu miundombinu, pia wamevamia supermarket na kupora mali
Mkulu Wa Nchito1 Ayubu Madenge Kummanina uliambiwa nanani haya mambo yapo kwenye katiba ya ufipa au ni tamaa zao za kuchukuwa pesa za mabeberu ili ufipa wasimamie Sera hiyo ya kuwatambua wafirwaji amka wewe fara umemsikia Museni lisu lema wamekuja wamezungumza tumewasikia angalia vizuri hiyo picha ya chiba
Mkulu Wa Nchito1 Thabit Jacob, PhD Yaani wafuasi wa odinga ndio wajinga hata kuliko wafuasi wa magufuli, yaani ni bora hata wafuasi wa magufuli mara 100, unawezaje mshabikia mtu ambae yeye akishindwa ni kuleta fujo tu ili akaribishwe serikalini, alifanya hivo kwa moi, kibaki na uhuru sasa anataka na kwa ruto
Mkulu Wa Nchito1 Martin Maranja Masese mie nimejibu kutoana na kichoandikiwa afu ww ukanijibu njee na nichokiandika ujione kama wewe ni unamatatizo ya akili au kidogo dishi limeyumba, kwa uwezo wangu mdogo wa kusoma watu wewe ni tahira broo otherwise jifunze kujibu kutokana na jibu, pia kwa ndiko gani la kuelewa hapa?
Mkulu Wa Nchito1 Kwame Kivaisi cousin 420 George Rugambwa ππ«.ππππ€β’πΉπΏ Uongoz wa juu wa chadema wote Din moja hakuna islamic na ndioman chadema ndio chama hakitaki muungano wa znz na tanganyika pia hakina nguvu ndan ya znz kutokana na udin
Mkulu Wa Nchito1 Fortunatus Buyobe Alikuwa na signs nyingi tu ndio maana akalazwa hosp ya Lugalo.