
Jambo TV
@jambotv_
Independent News Source | WhatsApp+255767252999
ID: 570641129
https://jambo.co.tz/ 04-05-2012 08:15:47
25,25K Tweet
957,957K Followers
64 Following



VIDEO: Wakili wa Serikali Mwandamizi Nassoro Katuga akiieleza Mahakama kuwa upelelezi wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Chadema Tanzania Taifa Wakili Tundu Lissu Tundu Antiphas Lissu uko kwenye hatua za mwisho



VIDEO: Kesi ya uhaini inayomhusu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Tanzania Tundu Lissu Tundu Antiphas Lissu imeahirishwa mpaka tarehe 16, Juni 2025 kutokana na upelekezi wa kesi hiyo kutokukamilika. Akizungumza nje ya viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi KIsutu Wakili

VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche John Heche ametoa wito kwa mahakama kutafuta eneo lenye nafasi kubwa zaidi ili kuwawezesha watu wengi kuweza kushiriki kwenye kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu badala








VIDEO: Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala Rugemeleza Nshala ambaye ni miongoni mwa jopo la Mawakili wanaomtetea Mwenyekiti wa CHADEMA Chadema Tanzania Taifa Wakili Tundu Lissu Tundu Antiphas Lissu kwenye kesi zake zinazomkabili, zinazoendelea kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam



