Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile
Jambo TV

@jambotv_

Independent News Source | WhatsApp+255767252999

ID: 570641129

linkhttps://jambo.co.tz/ calendar_today04-05-2012 08:15:47

25,25K Tweet

957,957K Takipçi

64 Takip Edilen

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Serikali ya Tanzania imetangaza kutenga kiasi cha Shilingi Bilioni 173.94 katika kutekeleza afua mbalimbali ikiwemo Kufufua kiwanda cha Tanzania Pharmacetical Industry (TPI) kilichopo Arusha kuanza kuzalisha ARV. Hayo yameelezwa na Waziri wa Afya Jenista Mhagama wakati

Serikali ya Tanzania imetangaza kutenga kiasi cha Shilingi Bilioni 173.94 katika kutekeleza afua mbalimbali ikiwemo  Kufufua kiwanda cha Tanzania Pharmacetical Industry (TPI) kilichopo Arusha kuanza kuzalisha ARV.

Hayo yameelezwa na Waziri wa Afya Jenista Mhagama wakati