
Jambo TV
@jambotv_
Independent News Source | WhatsApp+255767252999
ID: 570641129
https://jambo.co.tz/ 04-05-2012 08:15:47
25,25K Tweet
957,957K Followers
64 Following

VIDEO: Kesi ya uhaini inayomhusu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Tanzania Tundu Lissu Tundu Antiphas Lissu imeahirishwa mpaka tarehe 16, Juni 2025 kutokana na upelekezi wa kesi hiyo kutokukamilika. Akizungumza nje ya viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi KIsutu Wakili