Eng. IsackK (@isackkamwelwe) 's Twitter Profile
Eng. IsackK

@isackkamwelwe

Mbunge wa Katavi, July 18- Novemba 2020 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

ID: 1024538257269448705

calendar_today01-08-2018 06:12:10

36 Tweet

1,1K Followers

179 Following

Eng. IsackK (@isackkamwelwe) 's Twitter Profile Photo

Miundombinu nchini kote inajengwa kwa awamu, aidha Serikali inatambua changamoto mbalimbali ambazo zippo na inaendelea kuzitatua

Eng. IsackK (@isackkamwelwe) 's Twitter Profile Photo

Wilayani Bunda, Mkoani Mara,nimekagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Bulamba-Kisorya yenye urefu wa KM 51 nimeiagiza TANROADS, mkoa wa Mara kumsimamia mkandarasi huyo ili akamilishe mradi huo ifikapo Juni 19 badala ya mwezi Desemba 2019.

Wilayani Bunda, Mkoani Mara,nimekagua maendeleo ya  ujenzi wa barabara ya Bulamba-Kisorya yenye urefu wa KM 51 nimeiagiza  TANROADS, mkoa wa Mara kumsimamia mkandarasi huyo ili akamilishe mradi huo ifikapo Juni 19 badala ya mwezi Desemba 2019.
Eng. IsackK (@isackkamwelwe) 's Twitter Profile Photo

Nimekagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Nyahua-Chaya KM 85 mkoani Tabora na kumtaka mkandarasi kampuni ya CHICO kukamilisha mradi mapema 2020, aidha nimemuagiza Mhandisi Mshauri (RE) kusimamia haki za wafanyakazi.

Nimekagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Nyahua-Chaya KM 85 mkoani Tabora na kumtaka mkandarasi kampuni ya CHICO kukamilisha mradi mapema 2020, aidha  nimemuagiza Mhandisi Mshauri (RE) kusimamia haki za wafanyakazi.
Eng. IsackK (@isackkamwelwe) 's Twitter Profile Photo

Baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Usesula-Komanga Mkoani Tabora yenye urefu wa KM 108 nimemuagiza TANROADS, mkoa wa Tabora kujiridhisha kwa kuyapima tena madaraja na makalvati yaliyoanza kutengenezwa maana ubora wake una mashaka

Baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Usesula-Komanga Mkoani Tabora yenye urefu wa KM 108 nimemuagiza TANROADS, mkoa wa Tabora kujiridhisha kwa kuyapima tena madaraja na makalvati yaliyoanza kutengenezwa maana ubora wake una mashaka
Bunge la Tanzania (@bunge_tz) 's Twitter Profile Photo

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yapokea na kusikiliza maoni ya Wadau kuhusu Mswada wa Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini wa mwaka 2018.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya  Miundombinu yapokea na kusikiliza maoni ya  Wadau kuhusu Mswada wa Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini wa mwaka 2018.
Safiri Salama (@safiri_salama) 's Twitter Profile Photo

Pesa inatafutwa lakini UHAI hautafutwi.! Dereva wa bodaboda usikubali kuhatarisha usalama wako barabarani kwa kubeba mzigo unaozidi uwezo wa chombo chako cha moto. #Ajalisasabasi

Haki Ngowi (@hakingowi) 's Twitter Profile Photo

Rais Dkt. Dr John Magufuli pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli, Waziri wa Ujenzi Eng. Eng. IsackK wakivuta utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi mradi wa Ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kutoka Mbinga mjini mpaka Mbamba Bay km 67

Rais Dkt. <a href="/MagufuliJP/">Dr John Magufuli</a> pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli, Waziri wa Ujenzi Eng.  <a href="/IsackKamwelwe/">Eng. IsackK</a> wakivuta utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi mradi wa Ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kutoka Mbinga mjini mpaka Mbamba Bay km 67
Air Tanzania (@airtanzania) 's Twitter Profile Photo

We would like to inform our dear customers that we are starting our new route from 6/4/2020 ,Dar to Mwanza Via Kilimanjaro. Book your flight : airtanzania.co.tz or Call us at 0800110045 #FlyAirTanzania #TheWingsOfKilimanjaro #AirTanzania #Kilimanjaro #Daressalaam #Mwanza

We would like to inform our dear customers that we are starting our new route from 6/4/2020 ,Dar to Mwanza Via Kilimanjaro. 
Book your flight : airtanzania.co.tz or Call us at 0800110045

#FlyAirTanzania
#TheWingsOfKilimanjaro
#AirTanzania

#Kilimanjaro #Daressalaam #Mwanza