EMMA A KIMAMBO
@Emmakimambo1
Chairperson CHADEMA youth Wing Arusha Region//Activist//Married//mother//Photographer//Simba fan
ID:1217372398158340097
15-01-2020 09:06:39
1,0K Tweets
2,0K Followers
1,7K Following
'CAG amebaini kwamba kuna manunuzi ambayo yalifanyika nje ya mfumo wa kielektroniki ya Bilioni 28.13 kwa nchi nzima, ambayo ni kinyume na kanuni 342(1) ya manunuzi ya umma ya mwaka 2013'- Boniface Jacob
#UchambuziWaExMayor
#CAGreport
' Tunataka kuona vijana jeuri katika Taifa hili na wenye kujiamini na sio waoga ' ndiyo bwana mkubwa'. Tunataka kuona vijana wenye ujasiri wa kuhoji na kupiga vita mifumo ya kidhalimu isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania'. Hongera sana Dedan Chacha Wangwe
Tumerudi zama za mwenda zake hii si sawa kabisa niwaombe vijana wenzangu tupaze sauti juu ua kijana mwenzetu leo ni DEUSDEDITH SOKA kesho hatujui ni nani.
Vile Upendo Peneza baada ya mkutano wake wa kununua watu kwa 5000 na kubeba kadi feki za makaratasi na kusahau CHADEMA nchi nzima wana kadi za kidigital . Wana Geita wanamcheki tuu na kusema moyono haka kabinti kapumbavu sana. Akiendelea tutafungua mafile yake