Dodoma_Zone
@Dodoma_Zone_
official Twitter Page Of Dodoma_Zone©
ID:4208433315
17-11-2015 08:50:47
33,1K Tweets
23,1K Followers
94 Following
Follow People
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa leo Mei 10, 2024 amewasili uwanja wa ndege wa Songwe ambapo kesho Mei 11, 2024 ataongoza mbio za Mbeya Tulia Marathon.
Akiwa mkoani Mbeya, Waziri Mkuu atakagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi.
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso. akijibu hoja mbalimbali za wabunge ambapo Bunge limeidhinisha jumla ya TZS. 627,778,338,000/- kwenda kutekeleza kazi na shughuli mbalimbali za Wizara ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2024/2015 leo tarehe Mei 10, 2024.
Mapema leo waziri wa fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD amepokea ugeni wa mwenyekiti wa chama cha wabunge cha kutokomeza Malaria Tanzania na mbunge wa viti maalumu Mhe. Riziki Lulida, ofisini kwake Dodoma.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana akitizama baadhi ya nyaraka katika maktaba iliyohifadhi nyaraka za kumbukumbu za ukombozi wa Bara la Afrika.
#KaziIendelee