Irankunda®🇷🇼
@cosmasjn
Uwutazi aghakula, aniga umutavu!
Listen to Crown FM - onlineradiobox.com/tz/crown/
ID: 739154877876736000
https://cmhs.ur.ac.rw/ 04-06-2016 18:00:30
72,72K Tweet
878 Followers
1,1K Following
mkurugenzi wa Grounders_Grounders na Mwenyekiti wangu wa BAVICHA Temeke Ndugu DEUSDEDITH SOKA mpaka Leo siku ya 37 cjui alipo, waliopewa dhamana ya kumtafuta wapo bize kuzima vilio vya wenye haki, Hakika huyu Mungu aishivyo haya machozi yatakula mpaka vitukuu vyenu. #freeOurYouth
Ripoti Fupi Kuhusu Kesi aliyofungua Mh. Tundu Antiphas Lissu dhidi ya Tigo yani iko hivi "TIGO" ilivujisha location na mawasiliano ya Lissu kwa serikali muda wote (24/7).. na Walikua wakiwatumia kwa Njia ya Whatsaap! yani kwakifupi Tigo walimuuza Mteja wao kwa Gavoo... Unakumbuka
Crown Media Kama huo ndio utakuwa mpangilio wenu wa usomaji habari kwakweli inapendeza sana yaani kama nasikia BBC😁 SASA nimeelewa kwanini KIKEKE aliacha kazi BBC
Siku chache baada ya Soka kutekwa, namba ya simu ya Soka kutoka kampuni ya Tigo Tanzania ambayo ilikuwa mikononi mwa polisi ilituma huu ujumbe wa mwenyekiti wa CHADEMA Temeke. Huu ni ushahidi mwingine kwamba Tigo walishirikiana na polisi kumteka Soka.