Safari ya chizi haihitaji nauli,bro Dr. Hamisi Kigwangalla unaipambania sana klabu yako japo kwa ushauri. Lakini wachache wanakudharau,achana nao ipo siku watayakumbuka maneno yako. Sisi tunafurahi kuona mkifanya vibaya na mkiwa kwenye migogoro isiyokwisha.