Zungu Tronics (@zungu_tronics) 's Twitter Profile
Zungu Tronics

@zungu_tronics

ID: 1647718857962930177

calendar_today16-04-2023 21:49:50

22 Tweet

3 Followers

51 Following

Maulid Kitenge (@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim ASAS , ameushangaa ukimya wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Iringa katika kutetea viongozi na mipango mbalimbali ya maendeleo inayofanywa na serikali ya chama chao likiwemo suala la uendeshaji wa Bandari lililoibua mjadala

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim ASAS , ameushangaa ukimya wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Iringa katika kutetea viongozi na mipango mbalimbali ya maendeleo inayofanywa na serikali ya chama chao likiwemo suala la uendeshaji wa Bandari lililoibua mjadala
Abu Niwowa (@niwowajr) 's Twitter Profile Photo

big 007 🎭 Kusema mfano wa Mungu ndo umekosea,Mungu hajafanana na viumbe vyake,sema ametupa Ukuu mbele ya wanawake,ngoja nijipige kifua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Caesar's Mindset (@caesarsmindset) 's Twitter Profile Photo

This account exists to strengthen your mindset and help you rediscover your masculinity. If you enjoyed this thread, please: 1. Follow me Caesar's Mindset 2. Retweet the tweet below πŸ‘‡

Dr Calipso (@nulphin) 's Twitter Profile Photo

Nisamehe sana mhe Rais Samia Suluhu kwa kukulaumu Nimefatilia hotuba yako leo niseme kwamba Rais ana nia njema na nchi hii isopokua anapotoshwa na Wasaidizi wake akina Gerson Msigwa na wengine Leo Rais anaongea kwa uchungu anasema akina Jaji waryoba wanamawazo mazuri watusaidie

Nisamehe sana mhe Rais  <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> kwa kukulaumu
Nimefatilia hotuba yako leo niseme kwamba Rais ana nia njema na nchi hii isopokua anapotoshwa  na Wasaidizi wake akina <a href="/MsigwaGerson/">Gerson Msigwa</a> na wengine Leo Rais anaongea kwa uchungu anasema akina Jaji waryoba wanamawazo mazuri watusaidie
millardayo (@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mkemia Mkuu wa Serikali ya Tanzania Dr. Fidelis Mafumiko amesema idadi ya Wanaume wanaojitokeza kupima DNA ( kuhakiki uhalali wa Watoto wao ) imeongezeka kwa sasa Nchini Tanzania tofauti na miaka miwili hadi mitatu iliyopita. Kwenye mahojiano mafupi na DW Kiswahili Dr. Fidelis

Mkemia Mkuu wa Serikali ya Tanzania Dr. Fidelis Mafumiko amesema idadi ya Wanaume wanaojitokeza kupima DNA ( kuhakiki uhalali wa Watoto wao ) imeongezeka kwa sasa Nchini Tanzania tofauti na miaka miwili hadi mitatu iliyopita.

Kwenye mahojiano mafupi na DW Kiswahili Dr. Fidelis
P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Uzi huu unaweza kuwa kitabu follow P'site Shio nitaendeleza majibu yake, hivi karibuni Hakikisha una LIKE pia kurepost kwasababu unaenda kuanza biashara au kuwa mjasiriamali Kwa idea na muongozo huu kabambe Bure Ukitaka Kuni support, Whatsapp napatikana wa.me/+255623322998