Yona Mkisi (@yona_mkisi) 's Twitter Profile
Yona Mkisi

@yona_mkisi

ID: 886345979028541440

linkhttp://www.yonamkisi.co.tz calendar_today15-07-2017 22:05:23

114 Tweet

481 Followers

2,2K Following

AyoTV (@ayotv_) 's Twitter Profile Photo

Wanaume waridhia Dangote aoe wake zao, asilimia 66 ya wanaume wamekubali kuwaachia wachumba ama wake zao ili waolewe na tajiri namba moja Afrika Aliko Dangote, ikiwa wataingiziwa fedha kwenye akaunti zao -TANZANIADAIMA

Wanaume waridhia Dangote aoe wake zao, asilimia 66 ya wanaume wamekubali kuwaachia wachumba ama wake zao ili waolewe na tajiri namba moja Afrika Aliko Dangote, ikiwa wataingiziwa fedha kwenye akaunti zao -TANZANIADAIMA
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Kata ya Gehandu, Hanang: Msimamizi wa Uchaguzi amezuia mawakala wa ACTWazalendo kwa kisingizio kuwa Mgombea amejitoa. Mgombea mwenyewe kaenda kwa msimamizi kusema hajajitoa wala hajaandika barua ya kujitoa. Hata ingekuwa hivyo kuna muda maalumu wa kujitoa. #ChaguziMarudio2018

Swahili Times (@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

Serikali imesema kuwa, chaneli zote zinazoonesha maudhui ya ndani zitapatikana bure kupitia ving'amuzi vya StarTimes, Ting, Dijitek na Continental ambavyo ndivyo vyenye leseni ya kurusha maudhui hayo. Azam, Dstv na Zuku vitarusha maudhui ya nje kulingana na leseni zao.

Serikali imesema kuwa, chaneli zote zinazoonesha maudhui ya ndani zitapatikana bure kupitia ving'amuzi vya StarTimes, Ting, Dijitek na Continental ambavyo ndivyo vyenye leseni ya kurusha maudhui hayo. Azam, Dstv na Zuku vitarusha maudhui ya nje kulingana na leseni zao.
Swahili Times (@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

"Mbunge wetu (Mwita Waitara-Ukonga) hatoshi, japo yupo CCM na ana wadhifa mkubwa. Nilikutana naye Dodoma nikamuuliza kuhusu barabara, alichofanya alininunulia bia halafu akaniambia, we kunywa bia, mambo ya barabara yatakusaidia nini."- Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dar.

"Mbunge wetu (Mwita Waitara-Ukonga) hatoshi, japo yupo CCM na ana wadhifa mkubwa. Nilikutana naye Dodoma nikamuuliza kuhusu barabara, alichofanya alininunulia bia halafu akaniambia, we kunywa bia, mambo ya barabara yatakusaidia nini."- Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dar.
Chacha Heche (@chacha_heche) 's Twitter Profile Photo

Kanjibai RECUR Shida kubwa ya wasiokuwa makamanda Ni kuamini kuwa ukipiga MTU unapanda cheo na wakiwa humu wanatukana wazungu wakipewa msaada wanaita wahisani

Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Leo ni miaka miwili tangu tuondokewe na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Mwenyezi Mungu aendelee kumpa pumziko jema na aendelee kuwatia nguvu wanafamilia wote. Serikali ya Awamu ya Sita itaendelea kumuenzi kwa kuendeleza mazuri aliyoyaanzisha.

Leo ni miaka miwili tangu tuondokewe na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Mwenyezi Mungu aendelee kumpa pumziko jema na aendelee kuwatia nguvu wanafamilia wote. Serikali ya Awamu ya Sita itaendelea kumuenzi kwa kuendeleza mazuri aliyoyaanzisha.