Pugu_media
@yetupugu
Pugu station yetu kwa habari mbali karibu katika ukurasa wetu wa Pugu Station Yetu
ID: 1084412008940879872
13-01-2019 11:29:05
5,5K Tweet
1,1K Followers
2,2K Following
"Tunawashukuru sana Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa na Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu kwa kuhakikisha watendaji ngazi za Kata wanapata usafiri wa pikipiki kuanzia Chama na Jumuiya zake" Juma Mizungu Mwenyekiti Uvccm Wilaya ya Ilala
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Ilala ndugu Juma Mizungu ameshiriki katika Ufunguzi wa Kampeni za Udiwani katika Kata ya Chanika,Ndg Juma Mizungu alipata fursa ya kuwaombea kura Wagombea wa Chama Cha Mapinduzi akiwepo Dkt Samia Suluhu