
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿
@wizara_afyatz
Ukurasa Rasmi wa Wizara ya Afya Tanzania.
Ukurasa huu unaendeshwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini - AFYA
ID: 3044753523
http://www.moh.go.tz 19-02-2015 04:54:19
7,7K Tweet
243,243K Followers
141 Following

Kikao cha 157 cha Kamati Kuu tendaji ya Shirika la Afya Duniani WHO leo Mei 28, 2025 kimempitisha na kumthibitisha Prof. Mohamed Yakub Janabi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo kwa Kanda ya Afrika. Hatua hii inajiri mara baada ya Prof. Mohamed Janabi kushinda kwenye uchaguzi wa nafasi