Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 (@wizara_afyatz) 's Twitter Profile
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿

@wizara_afyatz

Ukurasa Rasmi wa Wizara ya Afya Tanzania.
Ukurasa huu unaendeshwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini - AFYA

ID: 3044753523

linkhttp://www.moh.go.tz calendar_today19-02-2015 04:54:19

7,7K Tweet

243,243K Followers

141 Following

Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 (@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

Kikao cha 157 cha Kamati Kuu tendaji ya Shirika la Afya Duniani WHO leo Mei 28, 2025 kimempitisha na kumthibitisha Prof. Mohamed Yakub Janabi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo kwa Kanda ya Afrika. Hatua hii inajiri mara baada ya Prof. Mohamed Janabi kushinda kwenye uchaguzi wa nafasi