Veesmart2🌹 (@veesmart2) 's Twitter Profile
Veesmart2🌹

@veesmart2

Here for fun..Simba sport 💯 #MUFC

Manchester United fan🌹

ID: 1479417297286709248

calendar_today07-01-2022 11:39:35

13,13K Tweet

5,5K Takipçi

5,5K Takip Edilen

Mangi wa Kichaga (@mangiwakwanza1) 's Twitter Profile Photo

Ajira za hii nchi hata zitangazwe 2000 utashangaa waliopata hakuna hata mtu unayemjua, Kmmk wanangu tuendeleze NO REFORM NO ELECTION nyie wasomi msidanganyike kisa pesa za boom kuna maisha kitaa uku sio poa💔

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Good mornning #Tanzania Tunaanza siku na #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection Unapopita kila mahali sema: #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection ✊🏽 🔥

Good mornning #Tanzania
Tunaanza siku na
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection #NoReformsNoElection 
Unapopita kila mahali sema:  
#NoReformsNoElection #NoReformsNoElection 
✊🏽 🔥
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Tuna taarifa za uhakika kutoka kwenye vyanzo vya serikali. Serikali imepanic kwasababu ya ziara ya #NoReformsNoElection kupokelewa na kuungwa mkono na Watanzania. Makundi ya green guard na vijana wa ccm wanaolipwa watakua wanasombewa kwenye mikutano yetu ili kufanya fujo.

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Tundu Lissu akapewa kesi ya uhaini Chama cha ubwabwa kikapewa uhai Kuongeza nguvu kupambana na CDM Msajili akazuia ruzuku ya CDM Msajili hamtambui MNYIKA na wenzake Viongozi kitaifa wamezuiwa kusafiri CDM imezuiwa kufanya siasa siku 14 But, we shall fight on the beaches

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

DAKIKA 6 ZA HUYU DADA ZA MOTO SANA. Nchi inaenda kupata UKOMBOZI SOON. REPOST 200. #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵😎

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

. Tundu Antiphas Lissu (akiwa mbunge wa Singida Mashariki) alihakikisha anashughulika kiulalo-ulalo na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Mcheche Masaju, ambaye leo ameteuliwa kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania. TAL akitoka gerezani, akarejea uraiani ataanzia pale alipoishia bungeni

Mr Mike (@mr_mikeog) 's Twitter Profile Photo

Kila mahali napitia, "you're a GOAT can I take a photo with you?" Mleteni za glucose sasa 😌 mdomo haupumziki kuvonvince watu wa home it's a normal thing to me

Kila mahali napitia, "you're a GOAT can I take a photo with you?"

Mleteni za glucose sasa 😌 mdomo haupumziki kuvonvince watu wa home it's a normal thing to me
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

“Nchi hii mpira unatumika vibaya. Mpira imekuwa ni silaha ya kupumbaza watu… na kama kuna kitu kinanikera katika nchi hii na Mungu akijibu maombi akiondoe mara moja, ni Simba na Yanga…… ” - Godbless E.J. Lema

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Baada ya Tundu Lissu kueleza Mahakama utaratibu wa makazi yake akiwa gerezani ulivyo wa ajabu, na kwamba hatendewi haki, amelitaka jopo la mawakili wake wajiondoe na atajitetea mwenyewe katika shauri lake la uhaini. Hivyo, kuanzia sasa ni Tundu Lissu Vs Mawakili wa Serikali.

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Msikilize Mh Lissu akielezea kwa UCHUNGU alivyonyimwa haki yake ya kuabudu akiwa Gerezani kwa siku 68. SAMIA NI ZAIDI YA SHETANI. REPOST UJUMBE HUU. TUTAKUWEPO🫵🏾😎

MpembA (@iammpemba) 's Twitter Profile Photo

Aisee nimekutana na hizo video za Mo Dewji ile kipindi alitekwa na wasiojulikana,Kama taifa tumepitia mengi sana Nimekusogezea mkanda mzima na matukio muhimu Video Thread

Aisee nimekutana na hizo video za Mo Dewji ile kipindi alitekwa na wasiojulikana,Kama taifa tumepitia mengi sana

Nimekusogezea mkanda mzima na matukio muhimu

Video Thread