Unstoppable_news (@unstoppablemang) 's Twitter Profile
Unstoppable_news

@unstoppablemang

ID: 1578371549899509762

calendar_today07-10-2022 13:08:24

271 Tweet

106 Takipçi

308 Takip Edilen

Unstoppable_news (@unstoppablemang) 's Twitter Profile Photo

NABII EDIMOND ATABILI TUKIO JIPYA KUKEA JIJINI DODOMA Hali ya maafa katika Jiji la Dodoma inaendela kutokea kama ilivyotabiliwa na Nabii Edmond, Nabii huyu alitabili kifo cha supika wa zamani kikatokea na sasa ametabili tukio jipya la maafa kutokea hivi kalibu amtaja TUNDU LISU

Unstoppable_news (@unstoppablemang) 's Twitter Profile Photo

Askofu Gwajima alieleza kuwa mfumo wa sasa wa Tume ya Uchaguzi una mgongano wa maslahi kwani viongozi wote wa Tume hiyo ni wateule wa Rais. Alisema, “Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi aliyepo of course ni Mteule wa Rais, Mkurugenzi wa tume ni mteule wa raisi JE ? Mngefanya uchaguzi

Unstoppable_news (@unstoppablemang) 's Twitter Profile Photo

NABII EDIMOND ametabili kutokea kwa vurugu ndani ya chama cha mapinduzi CCM na kuzaa mgombea mwenza wa raisi SAMIA ambaye atamrithi NCHIMBI.

Unstoppable_news (@unstoppablemang) 's Twitter Profile Photo

NINI MTAZAMO WAKO KAMA MTANZANIA MZALENDO WA NCHI YAKO UNAFIKIRI REFORM ZIKIFANYIKA MATUKIO KAMA YANAYOENDESHWA NA SERIKALI YA TANZANIA YATAKWISHA? TOA MAONI YAKO KWENYE COMMENT

Unstoppable_news (@unstoppablemang) 's Twitter Profile Photo

KAULI TATA ILIGARIMU UHAI WA MWANAHARAKATI MDUDE NA KUFANYA KUPOTEZWA MPAKA SASA HAJULIKANI ALIPO. Mdude aliyekuwa mwana harakati wa upinzani na mpigania haki , alizua gumzo mitandaoni na kuharasi utawala wa awamu ya sita kwa kauli zake tata kauli hizo zilifanya apotezwe .

Unstoppable_news (@unstoppablemang) 's Twitter Profile Photo

Ni binadamu pekee mwenye udhubutu wa kufanya haya kuzunguka wilaya zote na kata zake bila kuogopa chochote kwakeli MUNGU akutunze Askofu Gwajima.