Tuheri Edward (@tuheriedward) 's Twitter Profile
Tuheri Edward

@tuheriedward

Be a better you..

ID: 2978147291

calendar_today14-01-2015 14:39:30

6,6K Tweet

502 Followers

672 Following

Christian Bwaya (@bwaya) 's Twitter Profile Photo

Uzuri wa kiburi ni namna kinavyokuandalia anguko lako kwa ustadi mkubwa. Kwanza, kinakujaza ujasiri uamini wewe ni mtu mwenye akili zisizo za kawaida, unaona wasichoona watu wote na kisha kinakufumba macho usiuone ukweli unaouhitaji kwa kukuletea watu waliobobea kukusifu kama

Christian Bwaya (@bwaya) 's Twitter Profile Photo

Mfalme Daudi alipotumia madaraka yake kuzini na Bethsheba—mke wa raia mnyonge Uria—kiburi cha dhambi kilimchochea kukimbilia kuficha dhambi kuliko kushughulikia matokeo ya hatia yake. Dhambi huja na ‘busara’ zake. Busara hizo zikamwelekeza Mfalme Daudi kuja na mpango wa amani wa

Christian Bwaya (@bwaya) 's Twitter Profile Photo

NYANI MZEE Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿 Mwemezi Rwiza, PhD Kuna jamaa anaitwa Seligman alikuja na nadharia inaitwa “Learned Helplessness”—mnyonge, lofa anakuwa kajaribu sana kupita njia halali lakini hajafanikiwa. “Hata nikisoma, nikifanya kazi kwa bidii, hakuna kitu napata.” Ugunduzi wa 1: Huwezi kupata kitu chochote bila kuwa

Mwemezi Rwiza, PhD (@swahilibible) 's Twitter Profile Photo

Grateful for this encouraging milestone on ResearchGate: Grateful for this encouraging milestone on ResearchGate. Last week, my research contributions recorded 110 new reads, ranking as the second-most-read contributions from my Institution (nmaist _official) during that period. This

Grateful for this encouraging milestone on ResearchGate: Grateful for this encouraging milestone on ResearchGate. Last week, my research contributions recorded 110 new reads, ranking as the second-most-read contributions from my Institution (<a href="/NM_AIST/">nmaist _official</a>)  during that period.

This
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

HONGERENI WAZAZI/WALEZI KWA KUWAPELEKA WATOTO SHULE. 1.zingatia neno "kuwapeleka" iwe kwa kulipa ada au kwa maneno ya ahadi (sound) wewe ni mshindi tu. 2.Nawapongeza wale ambao wanalipa kabla mwaka kupinduka au wanaolipa kwa wakati bila longolongo lakini nawapongeza zaidi

HONGERENI WAZAZI/WALEZI KWA KUWAPELEKA WATOTO SHULE.

1.zingatia neno "kuwapeleka" iwe kwa kulipa ada au kwa maneno ya ahadi (sound) wewe ni mshindi tu.

2.Nawapongeza wale ambao wanalipa kabla mwaka kupinduka au wanaolipa kwa wakati bila longolongo lakini nawapongeza zaidi
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Interesting article. Damages awarded by our Courts exceed what claimant would've earned, making them better off defaulting! This conflicts with international and local norms on damages. This is embarrassing. The Court of Appeal needs to re-examine its position. I'll explain👇

Interesting article. Damages awarded by our Courts exceed what claimant would've earned, making them better off defaulting! 

This conflicts with international and local norms on damages. This is embarrassing. The Court of Appeal needs to re-examine its position.

I'll explain👇
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Read the judgment by Agatho J, Commercial Court, & Mwampashi JA, Court of Appeal. Although Mwampashi rules in favour of PanAfrican, he takes a U-turn and grants a relief that PAET claims was not pleaded. Irony is: amount granted is same as the disallowed. How is that possible?

Emmanuel Sulle (@esulle46) 's Twitter Profile Photo

Please come work with us at the Arusha Climate & Environmental Research Centre, AKU Principal Campus Arusha. As you know here the air is fresh, the work is meaningful, and the coffee somehow tastes better & more importantly, the team is amazing. We’ve got two new positions

☦️BlessedGenius☦️ 🌐🇻🇦 (@blessedthomist) 's Twitter Profile Photo

Ni hivi, Mathematics has so much systematization, But the catholic church na ibada zake ni zaid sana , it's a perfection , its infinite beauty vailed in sacrements, only the faithful fully enjoy This, NB: LEO DUNIANI KOTE NI WAKATOLIKI PEKEE WAMEFANYA MISA/IBADA KAMILI Ya

Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰 (@tinahcristiaan) 's Twitter Profile Photo

*VIWANJA VIWANJA VIWANJA* Nauza viwanja viwili, vipo Mkundi, Morogoro, baada ya hospitali ya wilaya. kila kimoja ni zaidi ya sqm 1,800. Vipo pamoja, urefu ni 50m@ na upana ni 36m@. Urefu ni football pitch kwa vyote viwili, kuna umeme na maji. Viwanja vyote viwili vimepimwa.

Pope Leo XIV (@pontifex) 's Twitter Profile Photo

If the two disciples of Emmaus recognize Jesus when He breaks the bread for them, we too should recognize Him in this way. Not just in the Eucharist, but wherever there is a life that becomes broken bread, wherever someone makes a compassionate gift of themselves, like He did.

Malafyale (@mwansasusnr) 's Twitter Profile Photo

Katika salamu zetu za Shukrani hatuwezi kuisahau Media ya The Chanzo kwa namna mlitafuta Familia na kuAir ile Habari hatuna cha kuwalipa. 🫡