
Dr. Abdullah Hasnuu Makame
@dr_makame
Husband, Dad, Academia, Analyst: Member of East African Legislative Assembly (EALA) . MTAMO
Instagram @abdullahmakame
ID: 918094854378356736
http://https.www.eac.int 11-10-2017 12:44:05
32,32K Tweet
21,21K Takipçi
303 Takip Edilen

📍Ikulu, Chamwino Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani Mhe. George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Mheshimiwa Masaju anachukua nafasi ya Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu.















#NDUGAI Bunge la Tanzania limeondokewa #Kongwa imeondokewa Familia imeondokewa Chama Cha Mapinduzi imeondokewa Tanzania tumeondokewa, Afrika Mashariki tumeondokewa Ya kuandika ni mengi, lakini ninashindwa pa kuanzia -itoshe kumshukuru na kumrejeshea Bwana #Ayubu_1_21





