Abdulkarim Omar (@abdulkarimomar3) 's Twitter Profile
Abdulkarim Omar

@abdulkarimomar3

ID: 3059670489

calendar_today24-02-2015 18:19:40

1,1K Tweet

639 Takipçi

2,2K Takip Edilen

Abertus Paschal 🇹🇿𝕏 (@rutaraka) 's Twitter Profile Photo

📍Dakar, Senegal 🚨#UTEUZI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya Kazi Wakuu wa Wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye vituo vyao. 📃: IKULU (zuhura yunus )

📍Dakar, Senegal

🚨#UTEUZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya Kazi Wakuu wa Wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye vituo vyao.

📃: IKULU (<a href="/venusnyota/">zuhura yunus</a> )
𝐇𝐚𝐦𝐢𝐦𝐮👑 (@mak_migezo) 's Twitter Profile Photo

Alhamdulillah kumekucha salama, Mwenyezi Mungu atutangulie ktk harakati zetu maana waja nao wana ya kwao, make sure unaanza na dua pale unapotoka nyumbani kuelekea kazini kwako Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yako✊🏾

Privaldinho (@privaldinho) 's Twitter Profile Photo

Hebu panga orodha ya Makipa bora AFRIKA kwa sasa. Kama mdau wa michezo 🇲🇱 Djigui Diarra 🇲🇦 Yassin Bounou 🇨🇲 Andrei Onana 🇸🇳 Edward Mendy 🇪🇬 Mohamed El Sheenawy Tumia TemboCard visa mara kwa mara ujipatie nafasi ya kugharamikiwa na CRDB Bank PLC kila kitu kwenda AFCON

Micky Jnr (@mickyjnr__) 's Twitter Profile Photo

Al Ahly beat Arab Contract 2-1 away from home tonight. ❤️🦅 It’s 3 league matches and 9 pints for the Red Devils. Koller’s men are 5th on the table with 3 games in hand. #AfricanFootball I #YallaYaAhly

Al Ahly beat Arab Contract 2-1 away from home tonight. ❤️🦅

It’s 3 league matches and 9 pints for the Red Devils. 

Koller’s men are 5th on the table with 3 games in hand. 

#AfricanFootball I #YallaYaAhly
Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Miaka minne iliyopita, Jimmy Kizota alishitakiwa kwa kosa la kumuua mchumba wake aliyekuwa akiishi naye jijini Dar es salaam. Ni baada ya kumfumania akifanya mapenzi na mwanaume mwingine sebuleni kwao aliporudi nyumbani ghafla akitokea kazini majira ya saa tano asubuhi.

Miaka minne iliyopita, Jimmy Kizota alishitakiwa kwa kosa la kumuua mchumba wake aliyekuwa akiishi naye jijini Dar es salaam.

Ni baada ya kumfumania akifanya mapenzi na mwanaume mwingine sebuleni kwao aliporudi nyumbani ghafla akitokea kazini majira ya saa tano asubuhi.
CAF_Online (@caf_online) 's Twitter Profile Photo

🇬🇶 Equatorial Guinea’s #TotalEnergiesAFCON in numbers. 🔢 Can they beat their best-ever participation record at the #TotalEnergiesAFCON2023? 👀

🇬🇶 Equatorial Guinea’s #TotalEnergiesAFCON in numbers. 🔢

Can they beat their best-ever participation record at the #TotalEnergiesAFCON2023? 👀
Simba Sports Club (@simbasctanzania) 's Twitter Profile Photo

Meneja wa Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally akizungumzia maandalizi ya kikosi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Namungo FC. #WenyeNchi #NguvuMoja