๐™๐™๐™ž๐™ฃ๐™  ๐˜ฝ๐™ž๐™œ ๐Ÿค (@thinkbigmind) 's Twitter Profile
๐™๐™๐™ž๐™ฃ๐™  ๐˜ฝ๐™ž๐™œ ๐Ÿค

@thinkbigmind

๐˜ผ๐˜พ๐™๐™„๐™‘๐™„๐™Ž๐™ / (๐™Š๐™ฃ๐™ก๐™ฎ ๐™›๐™ง๐™š๐™š๐™™๐™ค๐™ข ๐™–๐™ฃ๐™™ ๐™ฅ๐™ค๐™จ๐™ž๐™ฉ๐™ž๐™ซ๐™ž๐™ฉ๐™ฎ ๐™›๐™ก๐™ค๐™ฌ ๐™ฉ๐™๐™ง๐™ค๐™ช๐™œ๐™ ๐™ข๐™ฎ ๐™ซ๐™š๐™ž๐™ฃ๐™จ)
TUMEVUKA THE RED SEA NA TUNDULISSU NA J.HECHE

ID: 1072970030

calendar_today09-01-2013 06:18:31

55,55K Tweet

13,13K Followers

5,5K Following

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Unawasha VPN na kuingia ๐• ili kumwaga sifa na kuwapongeza watawala na kuikingia kifua Serikali iliyofungia mtandao wa ๐• ni upumbavu ambao haujawahi kutokea tangu uwepo wa Dunia.

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Nasikia wiki hii wanataka kuchukua ushauri wa Polepole, CC (Kamati Kuu) ya mbogamboga wakae kikao wamptiishe Kizimkazi kama mgombea pekee ila bado haitazima moto ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜ Kinachohitajika mfungue process watu waruhusiwe kuchukua fomu za urais! Mnaogopa nini huku mnadai eti kuna

Nasikia wiki hii wanataka kuchukua ushauri wa Polepole, CC (Kamati Kuu) ya mbogamboga wakae kikao wamptiishe Kizimkazi kama mgombea pekee ila bado haitazima moto ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜
Kinachohitajika mfungue process watu waruhusiwe kuchukua fomu za urais! Mnaogopa nini huku mnadai eti kuna
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

"Waandishi mkawaulize wananchi kwanini hawaendi kupiga kura, watawaambia hata tukipiga kura yule tunaempigia hatangazwi, wananchi walishaanza #NoReformsNoElection kabla yetu sisi viongozi. Sisi tunafuata wananchi wanachokitaka; sio kwamba hatutashiriki uchaguzi tutatoa tamko nini

MwanzoTvPlus (@mwanzotvplus) 's Twitter Profile Photo

#TANZANIA: JOHN HECHE: 'SUBIRINI TAMKO KUBWA LA CHADEMA KABLA YA UCHAGUZI MKUU' "Tuna tamko, tutatoa mwelekeo kwa wanachama na wafuasi wetu nini cha kufanya. Bado haujaisha, tusubiri tamko letu" John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Soma zaidi: mwanzotv.com/john-heche-waiโ€ฆ

#TANZANIA: JOHN HECHE: 'SUBIRINI TAMKO KUBWA LA CHADEMA KABLA YA UCHAGUZI MKUU'
"Tuna tamko, tutatoa mwelekeo kwa wanachama na wafuasi wetu nini cha kufanya. Bado haujaisha, tusubiri tamko letu" John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA
Soma zaidi: mwanzotv.com/john-heche-waiโ€ฆ
SIR JEFFโšก๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

REFORMS will bring sanity REFORMS will bring accountability REFORMS will bring transparency REFORMS will bring justice REFORMS will bring rule of law REFORMS will fight corruption REFORMS will decentralize power REFORMS will strengthen democracy NO REFORMS, NO ELECTION.

LYENDA (@iamlyenda) 's Twitter Profile Photo

Nyerere alipowalazimisha CCM wakubali mfumo wa vyama vingi mwanzoni mwa miaka ya 90 aliwaambia; Tutengeneze upinzani bandia kwa kuunda vyama vya upinzani ambavyo viongozi wake watatokana na sisi. #LissuWillFixIt

Nyerere alipowalazimisha CCM wakubali mfumo wa vyama vingi mwanzoni mwa miaka ya 90 aliwaambia; Tutengeneze upinzani bandia kwa kuunda vyama vya upinzani ambavyo viongozi wake watatokana na sisi. 
#LissuWillFixIt
Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Kila aliye gombea uraisi kupitia Act wazalendo lazima aende mbele ya HAKI. 1. Anna Mngirwa R.I.P 2.Benard Membe R.I.P 3. Malimu Seif R.I.P 4.Luagha Mpina Loading ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค” Kwann Semu kajitoa? Kwann Zitto MwamiRuyagwa Kabwe huwa hagombie Urais?? Cc J A Y E L E C T R O N I C A

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

โ€œAlikuja mtu mmoja pale Lumumba akanieleza kuna watu wanataka kumuua Rais Magufuli. Akasema nimekueleza kwankuwa huyu bwana (JPM) nampenda, anafanya kazi nzuri.โ€-; Balozi Polepole 08.08.2025

Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Thatโ€™s my nigga MWAKINYO๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ”ฅ NB: Safari hii mpaka miti na hata mawe yataongea! #NoReformsNoElection #FREELISSU