Mwalimu ana stresi za kukosa T shirt ya CWT,Kikokotoo na kutoongezewa mshahara.
#StressLife .
#TeachingIsProfession
Hawa ni walimu?
Suala la kudai maslahi ya watumishi ni la kila mtumishi.
Kunapokuja sheria ya hovyo kwa watumishi, waathirika sio walimu tu kila mtu.
Rejea #Kikokotoo
#TeachingIsProfession
“Wafanyakazi acheni kuwa ombaomba!” 😃😃
Tundu Antiphas Lissu anasema kutaka awasemee kikokotoo wafanyakazi wakati wana vyama vya wafanyakazi ni kutotambua wajibu wao
youtube.com/live/kLeRR2NGD…
Mhe. Tundu Antiphas Lissu anasema wafanyakazi waache kuomba/kutaka awasemee kuhusu kikokotoo wakati wafanyakazi wana vyama vya wafanyakazi maana kuomba wasemewe ni kutotambua wajibu wao.
'Tunasimama na Wafanyakazi, kikokotoo cha mafao kinawaumiza wafanyakazi.'
Kiongozi wa ACTWazalendo
Dorothy Semu
#MeiMosi
#KikokotooChaWote
#KwaMaslahiYaWote
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Kwa kikokotoo hiki ni bora uwe na Kibubu, Chama cha ACTWazalendo kinawatakia heri ya Mei Mosi wafanyakazi wote.
#MeiMosi
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
#TwenzetuKigoma