Ummy Mwalimu MP #BajetiAfya2024
Mhe Ummy Mwalimu MP ameitaja Kigoma zaidi ya mara 2 tangu aanze bajeti yake. #BajetiAfya2024
"Magonjwa ya meno yanatibika, dawa ya Jino ni kulitibu sio kuling'oa" Ummy Mwalimu MP🇹🇿 . #BajetiAfya2024
"82% ya watanzania wanapata huduma katika ngazi ya afya msingi" Ummy Mwalimu MP #BajetiAfya2024