@solloo (@soloo2023_) 's Twitter Profile
@solloo

@soloo2023_

Thinker and mind blowing person on finacial and public development

ID: 1632627229774561282

calendar_today06-03-2023 06:20:49

6,6K Tweet

318 Followers

966 Following

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Wanangu nimerejea online na baada ya kutoka njee kumbe usiku umeingia. Nani hajawahi Unda $1 tu online lakini ana bundle na smartphone? Na amekuwa aki struggle sana na hajafanikiwa? Nitakusaidia for free kuunda mpaka $300 online Bure. Vigezo ni rahisi; • Follow P'site Shio

Wanangu nimerejea online na baada ya kutoka njee kumbe usiku umeingia.

Nani hajawahi Unda $1 tu online lakini ana bundle na smartphone?

Na amekuwa aki struggle sana na hajafanikiwa?

Nitakusaidia for free kuunda mpaka $300 online Bure.

Vigezo ni rahisi;
• Follow <a href="/Psiteshio1/">P'site Shio</a>
Gimakwi (@hadjiabdul48) 's Twitter Profile Photo

The Kenyan Vigilante Those are the hard-earned funds of ordinary, struggling citizens—people living in poverty. When it comes to constitutional reforms, as a citizen, I demand that the new constitution specifies the number of vehicles leaders are allowed to use. This is nothing short of economic

Dr Calipso (@nulphin) 's Twitter Profile Photo

Keegan T We jamaa naku follow back taifa ndo linahitaji watu kama nyie sasa siku moja ukiwa mjini tupige vitu kwanza mzee una ubinadamu sanaaa

Hardtaget, (@hardtaget1) 's Twitter Profile Photo

Crown Media Shda ni huyo bwege anayemsindikiza! Naamini mnajiharibia. Mnafanya watu wenye utimamu wasiwafuatilie wakati kwa sasa mnonekana kuwa na maudhui yenye hadhi flani ukilinganisha na vyombo vingine vya kimchongo. Huyu chawa anafanya spinning za kijinga mno too much!

Bubelwa Kaiza (@bubelwakaiza) 's Twitter Profile Photo

Inasikitisha kuona kuwa ushauri wa kuigawa Tanesco katika makampuni matatu; kuzalisha, kusafirisha na kusambaza/kugawa umeme/nishati ulikataliwa sasa Serikali inamleta mhindi, Adani group, kugawa umeme, kuvuna pesa zetu na kuzipeleka India. Uswahili ni mzigo mkubwa hasa

Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Nimepata taarifa kuwa mtumiaji wa mtandao huu kwa kwa handle ya Chizima , muda huu nyumba yake maeneo ya Area C mkoani Dodoma imezingirwa na polisi waliojitambulisha wametokea DarEsSalaam idara ya Cyber Crime. Wanagonga mlango wake na amegoma kufungua. Haya yanakuja

Nimepata taarifa kuwa mtumiaji wa mtandao huu kwa kwa handle ya <a href="/AnthonyKasota/">Chizima</a> , muda huu nyumba yake maeneo ya Area C mkoani Dodoma imezingirwa na polisi waliojitambulisha wametokea DarEsSalaam idara ya Cyber Crime.

Wanagonga mlango wake na amegoma kufungua.

Haya yanakuja
P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Nina mchongo wa kuunda zaidi ya $2000 mwezi November. Unahitaji smartphone na bundle Tu. Hakuna kuwekeza. Hauhitaji PayPal. Nataka watu 200 pakee ni WA guide A - Z Vigezo ni simple; • Like & Repost • Comment neno "MCHONGO" Nabii Elisha akawaambia, Kesho majira kama haya

Nina mchongo wa kuunda zaidi ya $2000 mwezi November.

Unahitaji smartphone na bundle Tu.

Hakuna kuwekeza.

Hauhitaji PayPal.

Nataka watu 200 pakee ni WA guide A - Z

Vigezo ni simple;
• Like &amp; Repost
• Comment neno "MCHONGO"

Nabii Elisha akawaambia, Kesho majira kama haya
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

CCM wamejenga kijiwe chao mbele ya ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Bujimile, Kata ya Nyamhongolo hapa Ilemela. Nimewaelekeza viongozi wa ACTWazalendo wa Kata hii waanze kujenga ngome ya ACT Wazalendo pembeni ya kijiwe hicho cha Chama Cha Mapinduzi kwani Ofisi ya Mtaa ni RAIA WOTE.

CCM wamejenga kijiwe chao mbele ya ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Bujimile, Kata ya Nyamhongolo hapa Ilemela. Nimewaelekeza viongozi wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> wa Kata hii waanze kujenga ngome ya ACT Wazalendo pembeni ya kijiwe hicho cha <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> kwani Ofisi ya Mtaa ni RAIA WOTE.
ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

Sema Tricy Dagaa anapambana kinoma. Kama anayo'post ni uhalisia basi yuko vizuri. Sasa hapo mwanaume wake inabidi awe two times better kuliko yeye. Kumiliki mwanamke anaejitambua mpambanaji ni shule kubwa sana Unless akukubali yeye na usiwe na sauti. I love her spirit 10/10

@solloo (@soloo2023_) 's Twitter Profile Photo

Kumtetea askari polisi ni sasa na kuniambia nimsaidie mtawala wa ccm aliyepata ajali, ntachofanya ni kuongeza jiwe kubwa kwenye jeraha na kuondoka zangu

@solloo (@soloo2023_) 's Twitter Profile Photo

Tatizo mwanamke anachukulia mbunye kama mtaji wake na akitaka msaada au favour kwangu nkikataa maneno ni NIMEKATAA COZ KANINYIMA!!

@solloo (@soloo2023_) 's Twitter Profile Photo

Ikiwa 95% wanwake wenye ukwasi ni kutokana na urithi na talaka halafu wataka nikuamini!! We ambaye unaliwa na x wako wa ps huku nikiwa porini nimekwama na semi za mbao!!! Siyo mimi!

#NIPENI_MAUA_YANGU💐 (@roma_mkatoliki) 's Twitter Profile Photo

Tazama this new generation, tazama celeb wetu wanapochukua tuzo speech wanazotoa, nyingi hufanana,huigana na kukariri alichoongea wa mwanzo naye ataiga, hazivutii. Tazama wanamuziki wetu interviews wanazofanya kwenye media, unaweza usipate madini yoyote na zisikushawishi

MNAMA MUSK CFC (@ambrocemicky96) 's Twitter Profile Photo

Msemaji Mkuu wa Serikali Huo umeme unaosafiri kutoka Ethiopia unatumia WIFI kusafiri? Kwa maana Ethiopia ni mbali kucompare na umbali wa kutoka Bwawa la nyerere hadi moshi.